Connection

Services

Computer Maintanance

Computer Supply

Laptop Repair

Networking Installation



Learn more

Sunday, 25 August 2013

Filled Under:

MICHEZO

Share

USAJILI WA BALE: HILI NDO JUKWAA AMBALO LINAANDALIWA KWA AJILI YA KUMTAMBULISHA MCHEZAJI MPYA WA REAL MADRID

Gareth Bale anakaribia kutua Real Madrid

BSW25jqIgAAKTWM {Pictures} Real Madrid preparing stage for tomorrows presentation of Gareth Bale [AS]
Ujeniz wa jukwaa kubwa la kutambulishia wachezaji wakubwa wanaosajiliwa na Real Madrid ukiendelea mapema jana mchana. Inaaminika Real Madrid wapo katika hatua za mwisho za kumsajili Gareth Bale kwa ada ya uhamisho wa £94m ambayo itakuwa rekodi mpya ya dunia baada ya ile £80m waliyolipa Madrid kumsajili Cristiano Ronaldo kutoka Manchester United miaka minne iliyopita.
Miaka minne iliyopita Cristiano Ronaldo alikuwa mtu wa mwisho kupita juu ya jukwaa hili - na kama habari zilizopo ni za kuaminika basi Gareth Bale akiwa na jezi yake namba 11 atakuwa mchezaji mwingine kutoka ligi kuu ya Uingereza kupanda kwenye jukwaa ndani ya uwanja wa Santiago Bernabeu ndani ya siku chache zijazo

BSW3fY9CcAE8LT0 {Pictures} Real Madrid preparing stage for tomorrows presentation of Gareth Bale [AS]

0 comments:

Post a Comment

2014 © Movieism
RealMag theme by Templateism