Connection

Services

Computer Maintanance

Computer Supply

Laptop Repair

Networking Installation



Learn more

Wednesday, 2 October 2013

Filled Under:

Share

ROMANCE WITHOUT SEX(2) SEHEMU YA PILI


 Ilipoishia sehemu ya kwanza........

haikupita muda mrefu abdalah akaupitisha mkono katika chupi yangu na kuanza kuupapasa uke wangu nilijikuta najigeuza na kujinyoosha kama mtu anayeweweseka akiwa ndotoni nahisi abdalah aliligundua hilo akafunua kanga yangu moja kwa moja na kunivua chupi yangu taratibu akaanza kuninyonya chuchu zangu huku mkono wake ukiwa unatalii sehemu zangu za siri nilijikuta namkumbatia abdalah pasipo kuelewa nini kilinifanya nifanye vile, 

wakati nafanya hayo yote abdalah alikuwa katika shingo yangu akininyonya nilipiga kelele zile za kutekenywa nilijikuta naifungua zipu suruali yake na kuutoa uume wake na kuanza kuugusisha katika uke wangu nilisikia raha sana kwani ulikuwa unanitekenya haikuchukua muda abdalah alivua nguo zote na kuingiza uume wake alipiga kelele yalaaa nilishtuka sana nikamwambia nini mpenzi wangu akacheka kwa mahaba na kuniambia baby nimeungua yaaani huku ndani ni kwa moto mno nikampiga kofi kidogo la kimahaba basi siku hiyo tulifanya sana mapenzi na kwa mara ya kwanza nilifurahia mapenzi kwani tangu nimalize kidato cha sita yapata miezi sita sikufanya mapenzi na mwanaume yeyote mapenzi yetu yaliendelea vizuri tena alionyesha dalili zote za kunipenda kwa muda lakini hatukumaliza mwaka vitimbi vikaanza.

Inaendelea sehemu ya pili.....

kila nikimpigia simu ilikuwa inakatwa au kutokupokelewa kabisa na pindi anapopokea majibu yanakuwa nipo busy nitakutafuta baadae hapo nisipo mtafuta basi hatonitafuta siku moja nikampigia simu ikakatwa nilijiuliza maswali sikupata jibu nikapiga tena ikapokelewa kama bahati mbaya vile nikasikia sauti ya mwanamke akicheka yaani ni kama walikuwa wanacheza mchezo wa kutekenyana,

niliumia sana akili ikanituma niende nyumbani kwake nikajiandaa haraka haraka kwenda kufumania nikachukua usafiri aina ya bodaboda  ili niwahi nilipofika wala mlango haukuwa umefungwa ulikuwa wazi na sebuleni kulikuwa hakuna mtu nikapitiliza hadi chumbani kitendo cha kufungua mlango sikuamini macho yangu,

abdalah alikuwa na mwanamke mwingine wakifanya mapenzi hakuonyesha mshtuko yeye aliendelea na tendo nilibaki nimesimama pale mlangoni natetemeka na meno yakigongana kwa hasira Yule mwanamke baada ya kuona siondoki alichokifanya akazidisha sauti ya mahaba
!!iiiihiii abdalah wangu nipe mambo wewe ndo mwanaume unayejua kunifikisha,
Huku akikata mauno na kugeuka kila staili ili kuonyesha yeye alikuwa fundi nilishindwa kuvumilia niliondoka eneo lile na kurudi nyumbani nakumbuka siku hiyo nililia sana kama mtu aliyefiwa na kuondokewa na mtu muhimu katika maisha yake sikupenda kuwashirikisha marafiki zangu, katika matatizo yangu,
nililia sana hadi macho yakavimba usiku ulivyoingia nilipanda kitandani na kulala asubuhi nilipoamka kichwa kilikuwa kinaniuma sana nikaangalia simu yangu ya mkononi kama abdalah alinitafuta kwa kunipigia au kunitumia sms lakini haikuwa hivyo,
nilizidi kuumia kwa sababu nilikuwa nampenda na nilikuwa nipo tayari kumsamehe endapo angeniomba msamaha baada ya kupita wiki moja bila ya kunitafuta ilibidi nimpigie simu ‘’
!!hallow mpenzi wangu abdalah,
!!alijibu mpenzi!!! nani mpenzi wako?
!! abdalah jamani nimekusamehe najua ulipitiwa ndio maana ukanisaliti naomba turudishe mapenzi yetu kama zamani,
!!unisamehe we vipi kwani mimi nimefanya kosa gani? Tena usiniambie hizo habari kwa sababu uliniudhi sana kwa nini umekuja nyumbani kwangu bila taarifa?
!!we abdalah unasemaje yaani umenisaliti alafu bado unaongea lugha mbovu nimekoma kuanzia leo hutoona nimekutafuta asante sana.
Nilikata simu nililia sana siku hiyo nikafanya maamuzi nikasema sitompigia tena simu baada ya muda nikaanza kuzoea maisha ya kuwa mwenyewe miezi michache iliyofuata nikachaguliwa kujiunga na chuo kikuu sikupenda kukaa katika hostel za chuo nilitafuta chumba nje ya hostel na kupanga
nilianza mwaka wa kwanza nikiwa sina mpenzi kwa kipindi hicho wanafunzi waliopo chuo mwaka wa pili hadi wa tatu wanapowaona tu wanafunzi wapya wa mwaka wa kwanza kwa wanaume wasiotulia kazi yao kubwa ni kuwatongoza hao wasichana,
na wanapowapata hujiita vidume kwa kulala na wasichana wengi wa chuo ndivyo ilivyotokea kwa upande wangu kwani kuna kijana mmoja aitwae aron john alikuwa ni mtoto wa kitajiri alipatiwa pesa za kutosha na wazazi wake kiasi kwamba hata wanafunzi wa kike walio na tamaa walikuwa wakimshobokea,
na kwa kuwa yeye anapenda kuonekana na idadi kubwa ya wanawake alifanya nao mapenzi na kuwapatia pesa  nilipo ingia tu pale chuo stori nyingi zilimzungumzia yeye sikupenda tabia aliyokuwa anaifanya siku moja wakati napitapita katika maeneo ya chuo nilikutana na aron pale pale alinisimamisha
“ dada samahani nina mazungumzo na wewe’
 huku mkono wake ukiwa katika bega langu ili kunizuia nisipite,
‘nikamjibu…. ‘embu niache kwani lazima unishike’ huku nikiwa nimekunja uso wangu,
‘akanijibu…. ‘kwa nini umekasirika kiasi hicho kwani nimekukosea? Nahitaji nipate muda wa kuongea na wewe,
Nikamjibu….;no sina muda wa kuongea na wewe jaribu kwengine, nikaondoka zangu nikamuacha hapo akiwa amesimama hakuamini kilichotokea hakuchoka aliendelea kunisumbua kila mara tulipo kutana na msimamo wangu ukawa hivyo sikutaka kumpa nafasi ya kuongea na mimi ..........
ITAENDELEA .....

0 comments:

Post a Comment

2014 © Movieism
RealMag theme by Templateism