Tinna alikuwa nyumbani
kwao tena chumbani kwake akiwa ameshika kalamu na daftari alionekana akiwa busy
kama mtu anayesoma kwa kujiandaa na mtihani lakini haikuwa hivyo tinna alikuwa
anaandika historia ya mahusiano yake ya kimapenzi mwanzo wa ukurasa wake
aliandika Mapenzi yamekuwa tatizo kwangu
kila mwanaume ninayeingia naye kwenye mahusiano na kufanya naye mapenzi haichukui muda mrefu ananiacha,
John
mwanaume wangu wa kwanza kuingia naye
kwenye mahusiano nilidhani atakuja kuwa mume wangu lakini aliniacha
baada ya
miezi mitatu, na alijisifia kwa marafiki zake kwamba amefanikiwa kunitoa
bikra na wala hakunipenda lengo lake lilikuwa hilo
niliumia sana nikaapa kutomkubali mwanaume mwingine.kwani alinitia aibu
shuleni kila nilipopita marafiki zake walininyooshea vidole kwa kunisema
hali hiyo ilinifanya nishindwe hata kusoma kwa mawazo nilijitahidi sana
kuepukana na hali hiyo nikaweza nikaanza kusahau na kuona ni hali ya
kawaida tu,
lakini haikupita miezi sita tayari nilikuwa
kwenye mahusiano mapya na abdallah mwanaume mwenye kujua kubembeleza kila
nilipolia alinifuta machozi na kunidekeza alinifanya nimsahau John kwa muda,
nikaanza kuona raha ya mapenzi
nilipomuita honey yeye
aliniita sweaty mapenzi yetu yaliwavutia hata watu wengine wa pembeni
waliotufahamu kipindi chote hicho abdalah hakuwahi kuniomba tufanye mapenzi,
lakini siku moja niliamua kumtembelea nyumbani kwake alifurahi sana kuniona,
siku hiyo niliingia jikoni nikapika tukala
tulipomaliza kula tukakaa kwenye kochi na kuweka movie ya Titanic ilikuwa ni
movie ya mapenzi ya wapenzi wawili waliopendana ilipofika sehemu ya wapenzi hao kufanya
mapenzi nikashangaa kuona abdalah akihangaika hakutulia mara kidogo,
akaupitisha mkono wake kiunoni mwangu na
kujisogeza karibu zaidi wakati anafanya yote hayo alikuwa haongei chochote
zaidi yakuendelea kunipapasa sehemu za mapaja nilivaa kanga kwa muda huo kwa
sababu nilikuwa nimetoka jikoni mapigo yangu ya moyo yalikuwa yanadunda sana na
kijasho chembamba kilianza kunitoka,
haikupita
muda mrefu abdalah akaupitisha mkono katika chupi yangu na kuanza kuupapasa uke
wangu nilijikuta najigeuza na kujinyoosha kama mtu anayeweweseka akiwa ndotoni
nahisi abdalah aliligundua hilo akafunua kanga yangu moja kwa moja na kunivua
chupi yangu taratibu akaanza kuninyonya chuchu zangu huku mkono wake ukiwa
unatalii sehemu zangu za siri nilijikuta namkumbatia abdalah pasipo kuelewa
nini kilinifanya nifanye vile,
0 comments:
Post a Comment