Connection

Services

Computer Maintanance

Computer Supply

Laptop Repair

Networking Installation



Learn more

Friday, 4 October 2013

Filled Under: ,

LOVE STORY

Share

ROMANCE WITHOUT SEX(3) SEHEMU YATATU

 ILIPOISHIA SEHEMU YA PILI......

wanafunzi wa kike walio na tamaa walikuwa wakimshobokea,na kwa kuwa yeye anapenda kuonekana na idadi kubwa ya wanawake alifanya nao mapenzi na kuwapatia pesa  nilipo ingia tu pale chuo stori nyingi zilimzungumzia yeye sikupenda tabia aliyokuwa anaifanya siku moja wakati napitapita katika maeneo ya chuo nilikutana na aron pale pale alinisimamisha

“ dada samahani nina mazungumzo na wewe’
 huku mkono wake ukiwa katika bega langu ili kunizuia nisipite,
‘nikamjibu…. ‘embu niache kwani lazima unishike’ huku nikiwa nimekunja uso wangu,
‘akanijibu…. ‘kwa nini umekasirika kiasi hicho kwani nimekukosea? Nahitaji nipate muda wa kuongea na wewe,
Nikamjibu….;no sina muda wa kuongea na wewe jaribu kwengine, nikaondoka zangu nikamuacha hapo akiwa amesimama hakuamini kilichotokea hakuchoka aliendelea kunisumbua kila mara tulipo kutana na msimamo wangu ukawa hivyo sikutaka kumpa nafasi ya kuongea na mimi ..........
INAENDELEA SEHEMU YA TATU.......
Nikiwa chuoni hapo nilikutana na mwanaume mwingine kwa jina aliitwa deo ki mwonekano alikuwa mpole sana  hakuwa muongeaji sana pia alikuwa mcheshi alinivutia sana hata yeye alionekana dhahiri kuhitaji ukaribu wangu kwani alinitafuta na kuniomba namba yangu sms za kila mara hazikuacha kuingia kwenye simu yangu ilikuwa kama dozi ya dawa asubuhi mchana jioni kila mara aliniuliza niko wapi, nafanya nini, nimekula nini,
yote kunionyesha kuwa ananijali hadi kufikia siku ananitamkia kwamba ananipenda ilichukua muda nilihisi alikuwa na uwoga Fulani wa kukataliwa, na mimi sikuona sababu ya kumkataa kwa kumzungusha zungusha kwani nilihitaji mtu na hisia zangu zilikuwa tayari zimeangukia kwake,
Mapenzi yetu yalikuwa moto moto hadi kufikia aron kuchukia kutuona tupo wawili akaamua kunitolea vitisho kwamba atanipata atatumia njia yeyote ile, hadi afanye mapenzi na mimi sikutaka kubishana naye kwani niliamini asingeweza kufanikia hicho anachokiwaza kwani nilikuwa na msimamo wa kumpenda deo tu bila kumsaliti,
deo hakupenda mtu mlevi hiyo ndio ilikuwa sheria yake pia hakupenda niwe na marafiki ambao hawajatulia Malaya, walevi kwani aliogopa kunipotosha na kuniingiza katika hizo tabia, nilikuwa mkweli kwake sikupenda kumuudhi nilimpenda sana  na siku zote nilipenda mapenzi yetu yawe ya furaha,
mara nyingi nilipenda deo aje kwangu tulale wote kwa sababu yeye aliishi katika hostel za chuo na ilikuwa ni gharama kubwa kwenda kulala katika lodge siku hiyo nilikuwa na hamu sana ya kufanya mapenzi ikabidi nimpigie simu
Hallow…. Bby mambo vp?
Akajibu poa mambo vp mpenzi wangu?
Nikajibu ….mambo mabaya honey wangu naogopa kulala mwenyewe leo plz baby njoooo,
Aaahaaaa ..aaaahaaa, jaman mpenzi wangu unaogopa kulala mwenyewe sawa nakuja nikukumbatie basi sawa eheeee,
Ndioooo honey wangu njooo nakusubiri,
Jioni ya siku hiyo deo alifika nyumbani kwangu akiwa na furaha sana mkononi alishika mfuko uliobeba zawadi ya matunda ya apple akanipatia nilifurahi kwa zawadi ile tukayala muda wa kulala ulipofika nikaanza mbwembwe kabla ya kupanda kitandani wakati deo akiwa amekaa katika sofa akinitizama tu nikavua nguo zangu na kuvaa nguo ya kulalia ilikuwa kigauni kifupi na cheupe nikavua chupi yangu kitendo kile kiliufanya mwili wangu wa ndani uonekane vizuri zaidi 
nikapanda kitandani nikiwa nimeinama na kupiga magoti na kuchomeka net makalio yangu yalimpa wakati mgumu deo alinyanyuka pale alipokuwa na kunifuata pale kitandani na kuanza kunishikashika katika makalio yangu na kunisifia kwamba niliumbika akanishika katika kiuno changu na kunivuta nikawa nimemkalia akazidi kunichezea katika mapaja yangu hadi kufikia katika uke wangu nilikuwa tayari nishalowa 
hata deo naye pia alionekana kuwa na hamu alivua nguo zake pale pale akaanza kuniingizia uume wake hakufikisha hata dakika mbili tayari alikuwa amekojoa nikampiga kofi la mahaba 
bby me bado utamu haijaisha, wakati huo uume wake ulikuwa ushalala, 
deo alisikitika sana alionyesha kutofurahishwa na kitendo kile cha kumaliza kabla ya mimi kufika kileleni, 
akaniambia bby am sorry,,, ila tukirudia nakuhakikishia kukufikisha hadi mlima Kilimanjaro, nikacheka sana nikamwambia haya mpenzi wangu, na kweli tuliporudia mechi yetu ya pili mambo yalibadilika mpenzi wangu alirudi na nguvu mpya tulifanya kwa muda mrefu kazi yangu ilikuwa kumwambia
…oooohoo bbby ndo napanda mlima hivyo deo aliendelea tu bila kuchoka
…. akaniambia bby safari hiii nakufikisha hadi juu ya mlima Kilimanjaro,
….kuna sehemu uume ulinigusa nikahisi uchungu uliochanganyika na utamu nikamwambia hapo hapo bby nakaribia kufika haikuchukua muda nikawa tayari nimefika, nikamwambia asante mpenzi wangu umenifikisha, deo akacheka basi siku hiyo ilikuwa ya furaha kwetu sote,
Pale chuo kulikuwa na msichana aitwae sarah hakuwa ametulia alikuwa mapepe sana alianza tabia ya kunizoea kidogo kidogo mara nyingine alikuwa anakuja hadi kwenye nyumba ninayoishi ili mradi tu kutafuta ukaribu wangu nilijitahidi kumkwepa lakini ilishindikana sijui nini kilitokea lakini hali ilikuwa hivyo, kiasi kwamba mpenzi wangu deo akaanza kutilia mashaka juu ya urafiki wetu na kunionya kwamba huyo sarah sio rafiki mzuri
Aron hakuacha kunifuatilia akaamua kumtumia sarah ili aweze kunipata
Nakumbuka siku hiyo ilikuwa jumamosi nikiwa nimepumzika zangu nyumbani nyakati za jioni mara kidogo simu yangu ya mkononi ikaita kuangalia kwenye kioo nani aliyekuwa anapiga alikuwa ni sarah nikapokea’
Hallow’ sarah,
Sarah…. Tinna uko wapi?
….Nipo nyumbani,
Sarah …samahani tinnah nina matatizo hapa, nahitaji uje unisaidie nipo huku mjini katika bar ya Jb yaani hapa nimelewa naogopa kuondoka peke yangu njoo unichukue samahani kwa usumbufu rafiki yangu,
Nikajifikiria nikaona nikimkatalia haitakuwa vizuri atakuwa amelewa sana nikavaa haraka haraka nikatoka na kuelekea hadi katika ile bar kufika kweli nikafanikiwa kumkuta na kwa jinsi nilivyomuona alikuwa amelewa sana
Akaniambia….. nashukuru rafiki yangu umekuja karibu na wewe upate japo beer moja...
ITAENDELEA ...................................................

0 comments:

Post a Comment

2014 © Movieism
RealMag theme by Templateism