HUYU NDO BIG MAKOPA MSANII ALIYEFANYA NGOMA KAMA DONA NA GOODBYE AMETOA SIRI NZITO KUHUSIANA NA PRODUCER MR T
TOUCHER SOMA HAPA
ALIFANYA MAHOJIANO NA piponetwork.blogspot.com
HIVI NDIVYO ALIVYO FUNGUKA NAKUSEMA KUWA
BIG MAKOPA : Mr T Touche yeye
niproducer ambaye mkali sana na anajua nini anachokifanya katika
utengenezaji wake wa mziki pia nimtu ambaye yupo peace kwa kila mtu
hagana tabia za kujisikia no,
Namshuku bro BLACK CHATA A.k.A BLACK RHYNO ambaye yeye nimtu ambaye
amenipeleka pale studio Seductive Records pia namshukuru mama yangu
kwakunipa sapot,na watu wote ambao wana nipaga sapot za hapa na pale,hii ndo siri kubwa hachagui watu wa kufanya nao kazi, kwa yeyote yule anayependa kufanya naye kazi anafanya naye kama anamapungufu pia anamsaidia
PRODUCER MR T TOUCHER AMETENGENEZA NYIMBO NYINGI HIT KAMA YA BLACK RHYNO
– MKE MWEMA,NEY WA MITEGO AND DIAMOND – MZIKI GANI{SALAM ZAO} NA NGOMA
NYENGINE NYINGI TUU HIVI SOON PROJECT YA BIG MAKOPA {BIG JAY P} NGOMA
YAKE IKIWA TAYARI MTAFAHAMISHWA HAPA HAPA CLASSIC PIPO COMUPUTER NETWORK
Services
Wednesday, 28 August 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment