HATIMAYE SHEDY CLEVER AFUNGUKA KUHUSU SAKATA LA DIAMOND NA DAYNA
Na producer wa nyimbo hiyo akiwa na Shedy clever wa Burn recods.Team
tizniz ikaamua kumtafuta Producer huyo ili kujua ukweli juu ya kitu
hiki.
Shedy alisema “Beat hii nilitengeneza mimi kwa idea zangu mwenyewe,alivyokuja Dayna
akaupenda ule mdundo,na mimi sikumnyima akafanya demo lakini hakulipia
kabisa.Sasa ikapita zaidi ya miezi sita kila nikimuliza vipi anasema
bado atakuja kufanya.Kuna siku Diamond akaja studio
pale,akataka kusikia midumdo nikacheza midundo mbalimbali ila jamaa
akavutiwa sana na ule mdundo ambao Dayna alifanya demo.
Mimi nikampigia Dayna na kumuelezea kwamba diamond
kapenda kufanya kazi katika ile beat,Dayna akakubali kabisa,sasa
nashangaa yeye kusema diamond kamuibia wakati alikubali kabisa.Mimi sina
cha kusema zaidi ila ukweli upo hivyo.
Team tizniz
0 comments:
Post a Comment