LIVE MATCH:UEFA CHAMPIONS LEAGUE: SHAKHTAR DONETSK 1 v MANCHESTER UNITED 1

LIVE MATCH:UEFA CHAMPIONS LEAGUE : MANCHESTER CITY 1 vs BAYERN MUNICH 3

Mchezaji matata wa Bayern München Franck Ribéry anaipatia bao timu yake Bayern München
dakika ya 7
Mchezaji wa Bayern Munich Franck Ribery akiachia shuti kali na kuwafungulia bao la mapema
Kocha wa Manchester City Manuel Pellegrini akishangaa timu yake wakati inafungwa bao na Bayern
Bayern wanapata bao la pili kupitia kwa Muller dakika ya 56
Bao la tatu limefungwa na Ribery dakika ya 59.
Franck Ribéry (kulia) akishangilia bao lake dakika ya saba.
Dakika ya 79 Alvaro Negredo anaipatia Manchester City goli la kwanza na mchezo kuishia moja kwa tatu.
0 comments:
Post a Comment