Connection

Services

Computer Maintanance

Computer Supply

Laptop Repair

Networking Installation



Learn more

Friday, 11 October 2013

Filled Under:

MAPENZI

Share

Sababu 7 kwanini mwanamke hataki ku sex na wewe.

 Kutokana na takwimu za kitaalamu, Inasemekana inachukuwa sekunde 30 tu kwa mwanamke kuchukua uamuzi wa ku sex na wewe au kuto sex na wewe.
Kwanini nasema ni sekunde 30?
Inafahamika kuwa wanawake huweza kubadili mawazo yao haraka kuliko kutamka neno haraka, Na hii ni kwasababu msichana/mwanamke anakuwa anatongozwa na wavulana wengi kwa wakati mmoja kwa miaka mingi sasa na yeye inamchukuwa mda kidogo wa kuku ali au ku kataa kuwa na huyo mvulana. Na hii ndiyo huwa wana iita "female intuition".
Unaweza ukajiuliza kwa nini hasa wanawake wanauwezo wa kukataa/kubadilisha mawazo mapema hivyo kuliko wavulana na wavulana huwa hawajali? Nikutokana na mvulana hana umbile ambalo linapelekea msichana amuone na kutamani kufanya naye mapenzi kam ailivyo kwa wasichan akuwa na maumbile ambayo huleta matamanio kwa mvulana kuhitaji kufanya se.

Hizi hapa ni sababu 7 ambazo kwanini msichana hataki kufanya sex na wewe.

Kujiamini: Baada ya kuangalia juu ya kuwa mvulana hana mvuto wa kumsababisha msichana atamani ku sex naye, Kitu kinachosababisha umpate au usimpate ni kujiamini, Kwa mvulana kumsalimia tu mvulana nitayari ya kuonyesha una uamini. Msichana hayupo tayari kupanda kitandani na mvulana ambaye hajui anafanya nini. unaweza ukauliza juu ya wavulana ambao wana-aibu. Wao wanatakiwa kutumia hata kioo kwaajili ya kutafuta kuondoa aibu kwa kufanya mazoezi ya approaching. Elewa msichana yeyote humzarau mvulana ambaye anashindwa kujiamini.

Maneno yako: "Hatupendi mvulana anaye tongoza huku haelekei kwenye main point" maneno ya wasichana. Sababu nyingine ni kutokuwa na maneno ambayo hayaja nyooka. Kuwa na story zilizo pinda pinda. Unatakiwa uwe unaongea kama mtoto mdogo vile anapokuwa akitoa taafifa ili kuweza kusaidiwa kwenye kumpata mpezi umpendaye.

 Muonekano: Tunapoongelea muonekano huwa kunauchunguzi wa mambo mengi. Je unapokuwa unaongea naye unamtazamaje?, Je huwa una vaa namna gani?, Unatembea na kina nini? na wakati mwingine mfumo wako wa maisha upo jinsi ipi? Hakikisha unakuwa Nadhifu (Sio kwa kuwa sharo baro/Yoyoyo!), Kuwa na muonekano nadhifu na wakujali ambao hautamkera msichana.

Tambua hisia zake: Wasichana sio kama wavulana, wavulana huamsha hisia za mapenzi mapema, lakini msichana kama yupo kwenye siku mbaya ya kukwazwa, kuuziwa, onyesha tabasamu na utambuwe namna ipi ya kumburudisha ili kufurahisha moyo wake. Ujue ni wapi ambapo unaweza kumfurahisha.

Kuwa mtu wa Romantic: Aina yote ya utani na ucheshi mzuri utakuweka wewe kuwa rafiki wa karibu na mpenzi wako na afurahiye maisha ya kuwa na wewe. Kuwa mtu wa kumjali kila mara, taka kujuwa haja zake kwa kumuuliza maswali mazuri na sio kumkaripia kila mara. Kama wewe ni asiliyako kuwa wa Romantic ionyeshe kwa uhalisia na umliwaze kila mara.

Onyesha/Ishi kwa uhalisia wako: Usijibadilishe ili mpenzi wako akukubali kwa kujipodowa au kujiweka tofauti na uonekanavyo zaidi ya kumpenda. Mvulana yeyote anaye tazamia jinsi yeye alivyo ni mvulana ambaye kila mwanamke anampenda kwakuwa haonyeshi dalili ya mabadiliko. Usione haya kuongelea juu ya madhaifu yako kwa mpenzi wako, Maovu/Mambo ambayo wewe huona sio mazuri lakini unayafanya kama Ulevi, Uvutaji nk. Hii hukusababishia kupata msaada wa mabadiliko kutoka kwa mpenzi wako.

Msikilize mpenzi wako: Inatosha.


0 comments:

Post a Comment

2014 © Movieism
RealMag theme by Templateism