Connection

Services

Computer Maintanance

Computer Supply

Laptop Repair

Networking Installation



Learn more

Tuesday, 3 December 2013

Filled Under:

HABARI

Share
MAUAJI YA BODABODA

Mtu mmoja ambaye hakufahamika jina lake halisi ni dereva wa boda boda na mkazi wa Mbezi anayepaki eneo la posta ya zamani anayemiliki pikipiki aina ya Boxer mpya na ya kisasa 

 
alipata Abiria mida ya Saa nne usiku  wa kumpeleka Mwananyamala lakini abiria huyo alikuwa jambazi baada ya kumfikisha huko mwananyamala alimpiga risasi na dereva huyo kupoteza maisha papo hapo na jambazi hilo kukimbia na pikipiki hiyo aina ya Boxer

Huyu ndo dereva wa Boda boda aliyepigwa Risasi
Hawa ni baadhi ya watu waliokuwa eneo hilo kwa ajili ya kumpa msaada



Hapa wakimwondoa eneo la tukio

0 comments:

Post a Comment

2014 © Movieism
RealMag theme by Templateism