Popular Trailers

Action / Adventure

Connection

Services

Computer Maintanance

Computer Supply

Laptop Repair

Networking Installation



Learn more

Monday, 29 September 2014

Post



Created with Artisteer

Friday, 27 December 2013

Mahusiano


DALILI ZA NDOA INAYOKUFA





DALILI ZA NDOA INAYOKUFA

Jitahidi kuhakikisha unalinda moyo wako na moyo wa mpenzi wako; usije ukaupasua na kuuumiza.
Wanandoa wengi hujikuta wamefika mahali ambapo ndoa haiwezi kuwepo tena (talaka) na tatizo kubwa ni kwamba wengi hukaa bila kuchukua hatua zinazostahili (serious) wakati tatizo au mgogoro unapojitokeza ili kumaliza tatizo
Kutoshughulikia vizuri tatizo lolote kwenye ndoa hupelekea Chuki, Uchungu, Kinyongo, Kuumia hisia na huweza kusababisha mwanandoa mmoja kujiondoa katika muungano wa kindoa uliopo (kuanza kuishi kivyake katika kufikiria na kutenda).

Tuesday, 3 December 2013

HABARI

MAUAJI YA BODABODA

Mtu mmoja ambaye hakufahamika jina lake halisi ni dereva wa boda boda na mkazi wa Mbezi anayepaki eneo la posta ya zamani anayemiliki pikipiki aina ya Boxer mpya na ya kisasa 

Monday, 2 December 2013

DR LOVE

DR LOVE....
alikuwa ni kijana mpole tena mwenye kuheshimika na kila mtu alifanya kazi ya
kushauri wenye matatizo ya kimapenzi na hata kutoa elimu juu ya kuimarisha
upendo kwa walio kwenye mahusiano ya kimapenzi aliandika vitabu vya story za
mahaba maneno yaliyoandikwa yalikuwa yanahisia kila msichana aliyesoma
alitamani sana kuwa naye kimapenzi kwani maneno yake yalikuwa yakujali yakuthamini
na ya upendo tatizo kubwa alilokuwa nalo alishindwa kuishi na msichana yeyote
ambaye aliingia naye kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa sababu yale
aliyoyaandika na kuyajua alishindwa kuyatumia kwa mpenzi wake hakumjali wala
alikuwa hawezi kutamka maneno mazuri ya mahaba pindi anapokuwa na mpenz
wake.........



UNATAKA KUJUA UNDANI WA MAISHA YA DR LOVE? FUATILIA


Show more movies
2014 © Movieism
RealMag theme by Templateism