Connection

Services

Computer Maintanance

Computer Supply

Laptop Repair

Networking Installation



Learn more

Wednesday, 11 September 2013

Filled Under:

MITAANI

Share

TRAFIKI ANUSURIKA KICHAPO KUTOKA KWA WAENDESHA BODABODA TANGA

  Trafiki akizozana na dereva Bodaboda aliyevunja sheria katika stendi kuu ya mabasi mkoani Tanga.

  ...Askari akiingilia kati kumnusuru trafiki baada ya dereva Bodaboda kuanza kumzonga.…

 Askari aina wa tigo hakuwa mbali na bunduki yake

Baada ya bodaboda kushindwa kuyamaliza huko huko barabarani askari akaona isiwe tabu akaikokota na kuelekea kituo cha polisi

 

0 comments:

Post a Comment

2014 © Movieism
RealMag theme by Templateism