Connection

Services

Computer Maintanance

Computer Supply

Laptop Repair

Networking Installation



Learn more

Sunday, 20 October 2013

Filled Under:

NEWS

Share

  MAJONZI MTANGAZAJI MKONGWE JULIAS NYAISANGA AFARIKI DUNIA
 
 
Habari mbaya na zenye kusikitisha ambazo mtandao huu umezipata kutoka mkoani morogoro asubuhi hii ni kuwa mtangazaji mkongwe hapa nchini Julius Nyaisanga maarufu kama "Uncle J" (pichani) amefariki dunia

Kwa mujibu wa chanzo chetu taarifa za kifo chake zimezagaa asubuhi hii na bado haijafahamika zaidi sababu za kifo chake

Hadi Julius Nyaisanga anafariki dunia alikuwa meneja wa kituo cha redio Abood FM cha mjini Morogoro, na alijulikana sana tangu akifanya kazi Redio Tanzania sasa hivi inajulikana kama TBC Taifa pia aliwahi kufanya kazi kituo cha ITV na Radio One stereo
 
 julias nyaisanga katika picha wa kati kati


Endelea kusoma blog hii tutakuletea taarifa zaidi za masiba huu mzito kwa jinsi tunavyozidi kuzipata

0 comments:

Post a Comment

2014 © Movieism
RealMag theme by Templateism