Services
Wednesday, 30 October 2013
Wednesday, 23 October 2013
FREEMASONS
HISTORIA YA KANISA KATOLIKI NA MWINGILIANO WA FREEMASON KATIKA KULIBOMOA

Kwa
uchache kanisa la Roman Catholic ni kanisa la Roma, kama
linavyojulikana, kanisa la Roma.Roma ni mji mashuhuri uliopo Italia. Mji
wa Roma una historia ndefu katika dunia na ni mji uliotabiriwa na Mungu
pia.
Dunia
yetu imewahi kushuhudia ikitawaliwa na serikali moja katika awamu nne.
Awamu ya kwanza ilikuwa ni serikali ya dunia iliyopewa jina la Babeli.
Rais au mfalme wakwanza katika serikali hiyo alikuwa ni Nimrodi
akifuatiwa na Nebukadneza pamoja na marais waliomfuata. Asili ya
serikali hii ni mnara wa Babeli uliojengwa na mfalme wa kwanza wa
Babeli, rais Nimrodi. Eneo la sasa yalipokuwa makao makuu ya serikali ya
dunia awamu ya kwanza ni Iraqi.
Awamu
ya pili ya serikali ya dunia iliitwa Mede/Uajemi ambapo mmoja wa marais
wa serikali hii aliitwa Dario.Eneo la sasa yalipokuwa makao makuu ya
serikali hii ni Iran ya leo. Awamu ya tatu ya serikali ya dunia iliitwa
serikali ya Uyunani au Greece government. Mmoja wa marais mashuhuri
katika serikali hii alikuwa ni Alexander mkuu (Alexander the Great).
Awamu ya nne ya serikali ya dunia iliitwa‘Roman Empire’ au himaya ya
Roma. Mmoja wa marais wa serikali hii alikuwa ni Constantine. Serikali
hii ndiyo iliyotawala kwa muda mrefu kuliko serikali zote
zilizoitangulia.
Wakati
serikali hizo zinatawala dunia, dini ya kweli ilikuwa haijatikiswa hadi
serikali ya Roma ilipoanza kutawala. Je, dini ya freemasons ilianza
lini? Ukiondoa dini aliyoianzisha Mungu katika bustani ya Edeni, dini ya
freemasons ndiyo dini iliyoanza siku nyingi kuliko dini nyingine.Dini
hii ilianzishwa pia kwenye bustani ya Eden mwanzilishi wake akiwa ni
Shetani. Alimtumia Kaini anayejulikana kwa freemasons wa leo kama ‘first
freemason’ yaani mjenzi huru wa kwanza.
Hatimaye
rais Constantine kwa nusu aliamua kuachana na ibada za kipagani na
kujiunga na Ukristo. Hii ilikuwa ni kutimizwa kwa andiko la 2
Wathesalonike 2:3,4 maana ulikuwa ni ukengeufu wa kanisa la mitume
sehemu ya kwanza uliopelekea kuanzishwa kwa dini iliyochanganya ukweli
na uongo. Kwa nini dini hii ilisubiri hadi awamu ya nne ya serikali ya
dunia? Pengine nizungumzie kidogo maana ya namba nne kama inavyotumiwa
na Mungu. Namba nne sio namba maalumu kwa freemasons lakini ni muhimu
sana kwa Mungu. Namba nne inamaanisha kukomaa kwa mavuno na kuvunwa.
Tazama hapa: “Akawaambia ufalme wa Mungu, mfano wake ni kama mtu
aliyemwaga mbegu juu ya nchi…..Maana nchi huzaa yenyewe, kwanza jani, tena(pili)suke, kisha(tatu),ngano pevu katika suke. Hata (nne)matunda yakiiva
mara aupeleka mundu, kwa kuwa mavuno yamefika” Marko 4:26 –kwenye
mabano ni ufafanuzi wa mwandishi. Hizo ni hatua nne kufika kuvunwa kwa
mbegu njema. Vipi habari ya mbegu mbaya? “Lakini kila mmoja hujaribiwa(kwanza)kwatamaa yake mwenyewe. Halafuile tamaa ikisha kuchukua mimba(pili), huzaa dhambi (tatu),na ile dhambi ikiisha kukomaa, huzaa mauti(nne)”Yakobo
1:14,15. Unaweza pia kujua ni kwa nini waisraeli walitumia miaka 40
(4x10) kutoka Misri hadi Kanaani; kwa nini Yesu, Musa walifunga kwa siku
40 (4x10). Kumbuka kwamba namba 10 kwa Mungu inawakilisha ‘ukamilifu wa
Mungu’ na namba 7 inawakilisha ‘utimilifu wa Mungu’.Kuna tofauti kati
ya ‘ukamilifu’ – ‘perfection’ na ‘utimilifu’ – ‘fulness’.Kitu kinaweza
kuwa ‘timilifu’ lakini kisiwe ‘kamilifu’ lakini kitu hakiwezi kuwa
‘kamilifu’ bila ya kuwa ‘timilifu’.
Kwa mfano mapigo 7 ni utimilifu wa ghabu ya Mungu lakini ukamilifu wa
hukumu yake utafikiwa wakati Shetani, dhambi na wadhambi
watakapoangamizwa motoni. Mungu alitoa amri 10 kwa wanadamu ikimaanisha
kwamba amri hizo zinawakilisha tabia ya Mungu ambayo ni ‘kamilifu’.
Lakini pia tunasoma “….Wewe wakitia muhuri kipimo, umejaa hekima na ‘ukamilifu’ wa uzuri” kisha anaanza kutaja ni kwa namna gani alikuwa ‘mkamilifu’
wa uzuri akisema “1)Akiki, 2)Yakuti manjano, 3)Almasi, 4)zabarajadi,
5)shohamu, 6)Yaspi, 7)yakuti samawi, 8)zumaridi, 9)baharamani na
10)dhahabu. Lusifa alikuwa‘mkamilifu wa uzuri’ kutokana na kuvikwa aina 10 za madini ya thamani kubwa. Mungu ni‘mkamilifu’ kutokana na kuwa na tabia inayoelezewa kwenye amri 10katika Kutoka 20:4-17. Je wewe ni mkamilifu wa tabia kama ya Mungu kwa kuzitunza amri 10? Tafakari!
FREEMASONS NA FAMILIA 13 ZA ILUMINATI

Ni kwa namna gani Kristo alijitenga? E. White anaendelea kusema: “Pharisees and Sadducees were alike silenced. Jesus summoned His disciples, and prepared to leave the temple,
not as one defeated and forced from the presence of his adversaries,
but as one whose work was accomplished. He retired a victor from the
contest”. {DA 620.2}
‘Mafarisayo
na masadukayo walinyamazishwa. Yesu aliwakusanya wanafunzi wake, na
akawaandaa kuliacha hekalu, sio kama aliyeshindwa na kulazimishwa
kuondoka kwa maadui zake, bali kama ambaye kazi yake ilikuwa
imekamilika. Alikuwa ni mshindi katika mashindano”. {DA 620.2}
Biblia
inasema kwamba Yesu alijitahidi kupingana na mafarisayo na masadukayo
akiwa ndani ya mfumo wa dini ya kiyahudi na sasa alikuwa amefikia mwisho
wa upinzani wake na akaamua kujitenga moja kwa moja na mfumo wa dini
hiyo ili awafundishe vizuri wanafunzi wake ambao walikuwa tayari
kukubali mafundisho safi. E.G. White anasema:"
Hitherto He had called the temple His Father's house; but now, as the
Son of God should pass out from those walls, God's presence would be
withdrawn forever from the temple built to His glory. Henceforth its
ceremonies would be meaningless, its services a mockery. {DA 620.4}Hatimaye
Yesu na wanafunzi wake walijitenga na hekalu lililokuwa mpendwa wao.
Lakini kwa sababu viongozi wa hekalu walikataa kufuata mafundisho ya
neno la Mungu peke yake, Mwana wa Mungu hakuona sababu ya kuendelea
kubaki ndani ya hekalu ingawa “Alikuwa akiliita hekalu kuwa ni nyumba ya
Baba yake; lakini sasa, kama Mwana wa Mungu ambavyo akipita kutoka
katika kuta hizo, uwepo wa Mungu ungeondolewa milele usionekane ndani ya
hekalu lililojengwa kwa utukufu Wake. Hivyo sherehe zilizofanyika ndani
ya hekalu hazikuwa na maana, huduma zake zikawa dhihaka”. {DA 620.4}.
Hivyo ndivyo alivyofanya Martin Luther na wafuasi wake.
Baada
ya kifo cha Martin Luther, wafuasi wake waliendelea katika kufanya
matengenezo. Hata hivyo kwa sababu freemasons hawakati tamaa,
matengenezo yalikoma na kuanza kurudi nyuma taratibu ambapo leo hii wale
wanaoitwa ‘Walutheri’ wameungana tena na mfumo ambao mwanzilishi wao,
Martin Luther, aliuiita ‘mfumo mchafu’.
Wakati
matengenezo yanaendelea, ulikuwa ni wakati wa kutimizwa kwa unabii wa
siku 1260 sawa na miaka 1260 kama ilivyotabiriwa na nabii Yohana. Wakati
huo kulianzishwa matengenezo mengi na kupelekea kuanzishwa kwa mifumo
mingine ya makanisa. Baadhi ya makanisa yaliyoanzishwa yalikuwa haya:
Anglican:
Lilianzishwa huko England na mfalme wa Uingereza ili kupinga kanisa la
Roma. Kiongozi mkuu wa kanisa hilo ni Malkia wa Uingereza. Hata hivyo
wachunguzi wa dini ya freemasons wanasema kwamba familia ya Malkia ni
familia mojawapo kati ya familia 13 za waumini wa Freemasons.
Presbyterian:
Mwanzilishi ni John Calvin mwaka 1509 – 1564 na John Knox 1505 – 1572.
Kanisa hili lilijitenga na Roma likiwa na motto “Chunguza maandiko”
maana liliona kwamba kanisa la Roma linakwenda kinyume na maandiko. Hata
hivyo wafuasi wa John Calvin na John Knox wameshindwa kufikia malengo
ya kuyachunguza maandiko na kufuata kile asemacho Mungu na badala yake
wamekubali kurudi walikotoka!
MENNONITE:
Lilizaliwa rasmi mwaka 1525 – 1530 na Conrad Grebel na wenzake akiwemo
Zwingli Ulrich aliyetofautiana na Martin Luther juu ya somo la pasaka.
Hawa walikataa ubatizo wa Roma wa kunyunyizia maji na jina jingine
wanaitwa “Meno Knights” majina ambayo yanafanana na vikundi vya
Freemason kama vile “The knights of Eulogia”(Skull and Bones), “The
knights of Malta”. Ingawa lengo la Zwingli Ulrich lilikuwa zuri, baada
ya kifo chake wafuasi wake walikubali kuingiliwa na freemasons na hivyo
kushindwa kufikia lengo lililokusudiwa.
LUTHERAN:
Mwanzilishi ni Martin Luther mwaka 1517. Alikuwa ni Mjerumani
aliyesomea ukasisi wa kanisa la Roma na mwaka 1511 akapata Phd katika
chuo kikuu cha Wattenberg. Alipingana na kanisa lake la Roma na kuandika
sababu 95 zinazopinga mafundisho ya Roma ndipo akajitenga na Roma na
hivyo wafuasi wake wakaendelea kutumia jina la Lutheran, yaani wafuasi
wa Luther. Wafuasi wa Luther hawakuendelea mbele na sasa wamerudi kwenye
makosa aliyokuwa akiyapinga Luther. Je, Lutheran wa leo wanafuata kweli
nyayo za Martin Luther? Au wametekwa kwa matumizi ya njama ya
“Following Gurus”yaani kufuata kila wasemacho viongozi? Tafakari!
Moravian:
Mwanzilishi ni John Huss aliyezaliwa mwaka 1366 na kuchomwa moto na
papa hadi kufa mwaka 1416 baada ya kulipinga kanisa la Roma. Wafuasi
wake hadi leo wanaitwa kanisa la Moravian. Kwa bahati mbaya wafuasi wa
John Huss hawakuendelea kufanya matengezo ili kusonga mbele zaidi ya
Huss na kibaya zaidi ni kwamba wanarudi nyuma badala ya kusonga mbele.
Leo Huss akifufuka atashangaa kuona jinsi wafuasi wake walivyoacha
kanuni alizozianzisha. Je, wamoravian wa leo wako tayari kuchomwa moto
kwa kutetea ukweli kama John Huss? Tafakari!
Baptist:
Ni kanisa lililoanzishwa na wafuasi wa Martin Luther ambao walijitenga
na Lutheran mwaka 1600 huko Uholanzi na Uingereza baada ya kuona kwamba
wafuasi wenzao wameacha kanuni alizoziweka Martin Luther. Hata hivyo
kanisa la Baptist la leo haliendeleza jitihada za Luther na sasa badala
ya kusonga mbele linapiga ‘marktime’ likiwa limegeuka nyuma.
Salvation Army (Jeshi la Wokovu):
Mwanzilishi ni Booth mwaka 1878. Kanisa hili lilianzishwa na wafuasi wa
freemasons kwa lengo la kuchafua matengenezo ya kweli. Kumbuka kwamba
Shetani hutumia fursa inayotolewa na Mungu akiwa na lengo la kuwafanya
watu washindwe kujua kipi ni cha kweli na kipi sio. Katika kila
matengenezo ya kweli, pamekuwepo na matengenezo bandia.
Marmon church:
Mwanzilishi ni Joseph Smith (1805 – 1844). Kanisa hili linajulikana pia
kama The church of Jesus Christ of later day saints. Kanisa la Mormon
lilianzishwa na wafuasi wa freemason wakiwa na lengo la kuchafua
matengenezo ya kweli. Mitt Romney ni muumini wa kanisa la Mormon.
Methodist: Kiongozi Mwanzilishi ni John Wesley. Lilianzishwa na watu 17 wa familia moja
mwaka 1738 likiwa na lengo la kupinga mafundisho ya freemasons. Kanisa
hilo halijakamilisha lengo la matengenezo kutokana na ukweli kwamba
wafuasi wake hawana mwamko aliokuwa nao John Wesley.
Watch Tower:
Mwanzilishi ni Charles T. Russel 1852 – 1916 na mwenzake J. Lutheford
1869 – 1942. Baba yake Charles T. Russel alikuwa ni mchungaji wa
Prebyterian. Mnamo mwaka 1932 huko Marekani jina la kanisa hilo
lilibadilishwa na kuitwa Mashahidi wa Yehova. Markus Mpangala ameelezea
kwa kirefu chanzo cha dhehebu hili akiainisha kwamba waanzilishi
walikuwa ni Freemasons kutoka kwenye familia ya Illuminati inayoitwa
Russel illuminati bloodline ambayo nimeshaielezea kwenye makala
zilizopita.
Brethen Assemblies:
Mwanzilishi ni ndg. Dabi 1800 – 1882 ambaye alikuwa ni muumini wa
Anglican na akajitenga na kanisa hilo na kuanzisha kanisa lake. Dabi
aliamua kujitenga na Anglican kutokana na kanisa hilo kutawaliwa na
familia ya freemasons.
Makanisa ya Kipentekoste au kilokole:
Ni makanisa yaliyoanzishwa miaka ya hivi karibuni. Makanisa haya
yalianzishwa huko Kansas City Marekani mwaka 1901kwa lengo la kupata
nguvu ya kile kinachoaminiwa kuwa roho mtakatifu. Je, unajua uhusiano
uliopo kati ya muziki wa‘rap’ au ‘kufoka’ na uvuvio wa kunena kwa lugha
kutoka kwa kile kinachoaminiwa kuwa ni nguvu za roho mtakatifu wakati
waumini wa kilokole wanapokuwa wakiomba? Kumbuka kwamba Muziki wa rap
ulianzia huko Kansas City Marekani, mahali ambako makanisa ya
kipentekoste yalianzishwa. Panapo majaaliwa, nitakuwa na makala ndefu
kuhusu asili, lengo na nguvu inayoonekana kwa viongozi wa makanisa ya
kilokole kama akina T.B Joshua wa SCOAN la huko Nigeria. Kwa wakati huu
nasema,‘Soma Biblia na Tafakari’!
Gospel terbenacle: Mwanzilishi ni Pastor A.B. Simpson mwaka 1881 akitokea Presybiterian.
Christian Churches: Mwanzilishi ni Thomas Chapel mwaka 1807 akitokea Presybiterian.
Seventh –Day Advetist Church:
Mwaka 1844 baada ya kutokurejea kwa Yesu duniani kama ilivyohubiriwa na
muhubiri mashuhuri aitwaye William Miller, watu wengi walivunjika moyo
isipokuwa watu 50 tu ndio walioendelea kujifunza Biblia miongoni mwao
akiwa ni Ellen G. White. Watu hao waliendelea kuchunguza makosa
yaliyofanywa na William Miller maana wao pia waliamini juu ya marejeo ya
Yesu tarehe 22/10/1844. Hatimaye mwaka 1863 kanisa hilo likapewa jina
la Seventh –Day Adventists Church huku likiwa na motto au kauli mbiu ya
“Amri za Mungu na imani ya Yesu na Ujumbe wa malaika watatu” na baadaye
kanisa hilo likawa chini ya rais
wa General Conference ya SDA makao makuu yake yakiwa huko Marekani.
Rais huyo ndiye kiongozi (kichwa) mkuu wa kanisa hilo duniani na
huchaguliwa kila baada ya miaka mitano. Wakati viongozi wa kanisa
walipokutana ili kujadili mambo ya kanisa, palikuwa na
‘Mwenyekiti’(Chairman of General Conference) ambaye aliongoza kikao hadi
mwisho. Baada ya kikao kumalizika, mwenyekiti huyo alimaliza muda na
kazi yake. Hata hivyo kulitokea mabadiliko kutoka mwenyekiti wa baraza kuu hadi na rais wa kanisa ulimwenguni. Kila baada ya miaka mitano hufanyika uchaguzi wa kumpata rais
wa kanisa hilo. Tofauti na makanisa mengine, kanisa hili linaabudu siku
ya Jumamosi wakati makanisa mengine yanaabudu siku ya jumapili. Sasa
hivi kuna makanisa mengi ya SDA ambayo yametoka ndani ya kanisa la
‘General conference of Seventh-Day Adventists’(GCSDA) kwa madai kwamba
kanisa hilo limeingiliwa na freemasons. Wengi wa waumini wa SDA
waliojitenga na GCSDA wanasema kwamba walikuwa wakipinga‘protest’
mafundisho machafu huku wakiendelea kuwa ndani ya GCSDA lakini
hawakuweza kuleta mabadiliko yoyote maana hali ilikuwa inazidi kuwa
mbaya. Hatimaye waumini hao waliamua kufuata nyayo za akina Luther za
kujitenga na sasa wanafanya ‘reformation’ au ‘matengenezo’ hatua kwa
hatua maana walitoka na mafundisho machafu ambayo waliyapokea kama kweli
wakiwa ndani ya GCSDA.Waumini hao wanadai kwamba walijitenga na GCSDA
kwa sababu
Je, madai hayo ni kweli? Tafakari!
Msingi
wa kanisa la SDA au ‘Wasabato’ kama inavyojulikana kwa wengi,kuabudu
siku ya jumamosi, ni kile kilichoandikwa na Mungu wakati wa uumbaji,
kwamba aliumba kwa siku 6 na siku ya 7 akastarehe, akaibariki na
akapumzika kisha akawaambia waisraeli: “Ikumbuke siku ya Sabatouitakase….” Kutoka 20:8.
Kutokana
na kazi ya chama cha Priory de Sion kwa kuingiza mafundisho machafu
ndani ya imani safi, kulitokea utitiri wa makanisa mengi ambayo yanadai
kupinga uchafu huo. Hata hivyo wengi wa waumini wa madhehebu hayo ama
hawajui asili ya dhehebu lao au hawajui asili ya kile wanachokiabudu.
Wengi wamefundishwa na waalimu wa dini na kuwaamini bila hata ya kutaka
kuhakikisha kwa akili zao kile wanachofundhishwa. Mungu ametoa nafasi ya
kufahamu ukweli kwa kila mmoja wetu bila ya kutegemea viongozi wa dini.
Umewahi kufikiri kwamba kama ungekuwa unaishi duniani wewe peke yako,
ungemtegemea nani? Tafakari!
Tuesday, 22 October 2013
michezo
UCL: YAINGIA MECHI ZA TATU ZA MAKUNDI, NI MECHI ZA ‘NJE, NDANI!’
>>JUMANNE MVUTO NI ARSENAL v DORTMUND, AC MILAN v BARCA!
RATIBA-Mechi za Tatu:
Jumanne 22 Oct 2013
FC Steaua BucureÅŸti v FC Basel 1893
FC Schalke v Chelsea FC
Arsenal FC v Borussia Dortmund
Olympique de Marseille v SSC Napoli
FC Porto v Football Club Zenit
FK Austria Wien Club v Atlético de Madrid
Celtic FC v AFC Ajax
AC Milan v FC Barcelona
+++++++++++++++++++++++++++++++
UCL, UEFA CHAMPIONZ LIGI, inaingia
kwenye Mechi zake za Tatu kwa Makundi hapo Jumanne na Jumatano na hizi
ni muhumu mno hasa kwa vile Timu zinazokutana katika Mechi hizi ndizo
hizo hizo ambazo zitacheza tena kwenye Mechi za Nne.
Hili pia limebainishwa na Meneja wa
Arsenal, Arsene Wenger, ambae amesema Mechi zao mbili mfululizo na
Borussia Dortmund ndio zitakazoamua nani atafuzu toka Kundi lao.
Jumanne Oktoba 22, Arsenal wapo kwao
Emirates kuikaribisha Borussia Dortmund na Timu hizi zitarudiana tena
katika Mechi inayofuata hapo Novemba 6.
+++++++++++++++++++++++++++++++
Arsenal v Dortmund-Uso kwa Uso:
-Wamekutana Mara 4
-Arsenal Wameshinda 2, Dortmund 1 Sare 1
+++++++++++++++++++++++++++++++

Wenger amesema: “Dortmund wameimarika
zaidi na ni Timu ngumu sasa. Nadhani hata sie tuko imara. Hizi Mechi za
Tatu na za Nne ndio zinaamua nani anafuzu.”
Pia Wenger amesema anaamini kuwa Msimu
huu wanaweza kwenda mbali kwenye UCL na kunyooshea kidole Ratiba ngumu
kwao kwa Miaka iliyopita.
Amesema: “Katika Miaka mitano au sita
iliyopita tulikuwa hatuna bahati kwa kukutana na Timu ngumu kama vile
Barcelona, Bayern Munich au AC Milan, na ilikuwa ni Mechi ngumu
zisizotabirika. Labda Msimu huu tutafika mbali hadi Robo fainali, Nusu
Fainali na hata Fainali, kwa nini isiwezekane?”
Arsenal watatinga kwenye Mechi hii na
Dortmund wakiwa na Majeruhi kadhaa wakiwemo Mathieu Flamini, Theo
Walcott, Yaya Sanogo, Lukas Podolski, Alex Oxlade-Chamberlain na Abou
Diaby.
Wakati Arsenal abimbirika kwao Emirates
kwa kucheza na Dortmund, wenzao Chelsea watasafiri kwenda Germany
kucheza na FC Schalke, Timu ambayo inaongoza Kundi E ikiwa na Pointi 6,
na kufuatiwa na Chelsea na FC Basel zenye Pointi 3 kila mmoja huku
mkiani wapo Steau Bucharest wenye Pointi 0.
Kwenye Kundi hili, Chelsea walianza kwa
kuchapwa kwao Stamford Bridge Bao 2-1 na FC Basel na kisha kuifunga
Steau Bucharest Bao 4-0.
Mechi nyingine ambayo Wadau
wataifuatilia kwa vile tu ni ya Vigogo Barani Ulaya ni ile kati ya AC
Milan na Barcelona itakayochezwa huko San Siro.
RATIBA-Mechi za Tatu:
Jumatano 23 Oct 2013
Bayer 04 Leverkusen v FC Shakhtar Donetsk
Manchester United FC v Real Sociedad de Fútbol
Real Madrid CF v Juventus
Galatasaray A.Ş. FC København
RSC Anderlecht v Paris Saint-Germain
SL Benfica v Olympiacos FC
PFC CSKA Moskva v Manchester City FC
FC Bayern München v FC Viktoria Plzeň
+++++++++++++++++++++++++++++++
MATOKEO-Mechi za Pili:
Jumanne 1 Oktoba 2013
Football Club Zenit 0 FK Austria Wien 0
FC Basel 0 FC Schalke 1
FC Steaua BucureÅŸti 0 Chelsea 4
Borussia Dortmund 3 Olympique de Marseille 0
Arsenal 2 SSC Napoli 0
FC Porto Club 1 Atlético de Madrid 2
AFC Ajax 1 AC Milan 1
Celtic 0 FC Barcelona 1
+++++++++++++++++++++++++++++++
Jumatano 2 Oktoba 2013
PFC CSKA Moskva 3 FC Viktoria Plzeň 2
FC Shakhtar Donetsk 1 Manchester United 1
Bayer 04 Leverkusen 2 Real Sociedad de Fútbol 1
Juventus 2 Galatasaray 2.
Real Madrid 4 FC København 0
Paris Saint-Germain 3 SL Benfica 0
RSC Anderlecht 0 Olympiacos FC 3
Manchester City FC 1 FC Bayern München 3
+++++++++++++++++++++++++++++++
MATOKEO-Mechi za Kwanza:
Jumanne 17 Sep 2013
Manchester United FC 4 Bayer 04 Leverkusen 2
Real Sociedad de Fútbol 0 FC Shakhtar Donetsk 2
Galatasaray A.Åž. 1 Real Madrid CF 6
FC København 1 Juventus 1
SL Benfica 2 RSC Anderlecht 0
Olympiacos FC 1 Paris Saint-Germain 4
FC Bayern München 3 PFC CSKA Moscow 0
FC Viktoria Plzeň 0 Manchester City FC 3
Jumatano 18 Sep 2013
FC Schalke 3 FC Steaua BucureÅŸti 0
Chelsea 1 FC Basel 2
Olympique de Marseille 1 Arsenal 2
SSC Napoli 2 Borussia Dortmund 1
FK Austria Wien 0 FC Porto 1
Club Atlético de Madrid 3 Football Club Zenit 1
AC Milan 2 Celtic FC 0
FC Barcelona 4 AFC Ajax 0
+++++++++++++++++++++++++++++
KUNDI A |
|||||||||
NA |
TIMU |
P |
W |
D |
L |
F |
A |
GD |
PTS |
1 |
Manchester United |
2 |
1 |
1 |
0 |
5 |
3 |
2 |
4 |
2 |
FC Shakhtar Donetsk |
2 |
1 |
1 |
0 |
3 |
1 |
2 |
4 |
3 |
Bayer 04 Leverkusen |
2 |
1 |
0 |
1 |
4 |
5 |
-1 |
3 |
4 |
Real Sociedad |
2 |
0 |
0 |
2 |
1 |
4 |
-3 |
0 |
KUNDI B |
|||||||||
NA |
TIMU |
P |
W |
D |
L |
F |
A |
GD |
PTS |
1 |
Real Madrid CF |
2 |
2 |
0 |
0 |
10 |
1 |
9 |
6 |
2 |
Juventus |
2 |
0 |
2 |
0 |
3 |
3 |
0 |
2 |
3 |
FC Kobenhavn |
2 |
0 |
1 |
1 |
1 |
5 |
-4 |
1 |
4 |
Galatasaray Spor Kulübü |
2 |
0 |
1 |
1 |
3 |
8 |
-5 |
1 |
KUNDI C |
|||||||||
NA |
TIMU |
P |
W |
D |
L |
F |
A |
GD |
PTS |
1 |
Paris Saint-Germain |
2 |
2 |
0 |
0 |
7 |
1 |
6 |
6 |
2 |
Olympiacos CFP |
2 |
1 |
0 |
1 |
4 |
4 |
0 |
3 |
3 |
Benfica |
2 |
1 |
0 |
1 |
2 |
3 |
-1 |
3 |
4 |
RSC Anderlecht |
2 |
0 |
0 |
2 |
0 |
5 |
-5 |
0 |
KUNDI D |
|||||||||
NA |
TIMU |
P |
W |
D |
L |
F |
A |
GD |
PTS |
1 |
Bayern Munich |
2 |
2 |
0 |
0 |
6 |
1 |
5 |
6 |
2 |
Manchester City |
2 |
1 |
0 |
1 |
4 |
3 |
1 |
3 |
3 |
CSKA Moskva |
2 |
1 |
0 |
1 |
3 |
5 |
-2 |
3 |
4 |
FC Viktoria Plzen |
2 |
0 |
0 |
2 |
2 |
6 |
-4 |
0 |
KUNDI E |
|||||||||
NA |
TIMU |
P |
W |
D |
L |
F |
A |
GD |
PTS |
1 |
Schalke 04 |
2 |
2 |
0 |
0 |
4 |
0 |
4 |
6 |
2 |
Chelsea FC |
2 |
1 |
0 |
1 |
5 |
2 |
3 |
3 |
3 |
FC Basel 1893 |
2 |
1 |
0 |
1 |
2 |
2 |
0 |
3 |
4 |
FC Steaua Bucuresti |
2 |
0 |
0 |
2 |
0 |
7 |
-7 |
0 |
KUNDI F |
|||||||||
NA |
TIMU |
P |
W |
D |
L |
F |
A |
GD |
PTS |
1 |
Arsenal FC |
2 |
2 |
0 |
0 |
4 |
1 |
3 |
6 |
2 |
BV Borussia Dortmund |
2 |
1 |
0 |
1 |
4 |
2 |
2 |
3 |
3 |
Napoli |
2 |
1 |
0 |
1 |
2 |
3 |
-1 |
3 |
4 |
Olympique de Marseille |
2 |
0 |
0 |
2 |
1 |
5 |
-4 |
0 |
KUNDI G |
|||||||||
NA |
TIMU |
P |
W |
D |
L |
F |
A |
GD |
PTS |
1 |
Atletico de Madrid |
2 |
2 |
0 |
0 |
5 |
2 |
3 |
6 |
2 |
FC Porto |
2 |
1 |
0 |
1 |
2 |
2 |
0 |
3 |
3 |
FK Austria Wien |
2 |
0 |
1 |
1 |
0 |
1 |
-1 |
1 |
4 |
Zenit St. Petersburg |
2 |
0 |
1 |
1 |
1 |
3 |
-2 |
1 |
KUNDI H |
|||||||||
NA |
TIMU |
P |
W |
D |
L |
F |
A |
GD |
PTS |
1 |
FC Barcelona |
2 |
2 |
0 |
0 |
5 |
0 |
5 |
6 |
2 |
AC Milan |
2 |
1 |
1 |
0 |
3 |
1 |
2 |
4 |
3 |
Ajax Amsterdam |
2 |
0 |
1 |
1 |
1 |
5 |
-4 |
1 |
4 |
Celtic |
2 |
0 |
0 |
2 |
0 |
3 |
-3 |
0 |
Sunday, 20 October 2013
NEWS
MAJONZI MTANGAZAJI MKONGWE JULIAS NYAISANGA AFARIKI DUNIA
Habari mbaya na zenye kusikitisha ambazo
mtandao huu umezipata kutoka mkoani morogoro asubuhi hii ni kuwa
mtangazaji mkongwe hapa nchini Julius Nyaisanga maarufu kama "Uncle J"
(pichani) amefariki dunia
Kwa mujibu wa chanzo chetu taarifa za kifo chake zimezagaa asubuhi hii na bado haijafahamika zaidi sababu za kifo chake
Hadi Julius Nyaisanga anafariki dunia
alikuwa meneja wa kituo cha redio Abood FM cha mjini Morogoro, na
alijulikana sana tangu akifanya kazi Redio Tanzania sasa hivi
inajulikana kama TBC Taifa pia aliwahi kufanya kazi kituo cha ITV na Radio One stereo
Endelea kusoma blog hii tutakuletea taarifa zaidi za masiba huu mzito kwa jinsi tunavyozidi kuzipata
Saturday, 19 October 2013
MICHEZO
BPL: NEWCASTLE, LIVERPOOL SARE 2-2!
>>GERRARD APIGA BAO LA 100 KWENYE LIGI!
RATIBA/MATOKEO:
Jumamosi 19 Oktoba
Newcastle United 2 Liverpool 2
[Saa za Bongo]
17:00 Arsenal v Norwich City
17:00 Chelsea v Cardiff City
17:00 Everton v Hull City
17:00 Manchester United v Southampton
17:00 Stoke City v West Bromwich Albion
17:00 Swansea City v Sunderland
19:30 West Ham United v Manchester City
++++++++++++++++
LEO, Uwanjani St James Park, Newcastle zilitoka Sare ya Bao 2-2 katika Mechi ya BPL, Ligi Kuu
England,
na kuifanya Liverpool itwae uongozi wa Ligi, pengine kwa muda tu, huku
Nahodha wao Steven Gerrard akifunga kwa Penati na hilo ni Bao lake la
100 kwenye Ligi na kumfanya awe Mchezaji wa 24 kufikisha Bao 100 au
zaidi kwenye BPL.

++++++++++++++++
MAGOLI:
Newcastle 2
-Cabaye Dakika ya 23
-Dummett 56
Liverpool 2
-Gerrard Dakika ya 42 (Penati)
-Sturridge 72
++++++++++++++++
Newcastle ndio walitangulia kufunga
katika Dakika ya 39 kwa mzinga mkali wa Mita 25 wa Yohan Cabaye na
kwenye Dakika ya 39 Mapou Yanga-Mbiwa alipewa Kadi Nyekundu kwa
kumwangusha Luis Suarez na pia kutolewa Penati ambayo Steven Gerrard
++++++++++++++++
WAFUNGAJI BORA LIGI KUU ENGLAND [Goli 100 na zaidi]:
260 - Alan Shearer
187 - Andy Cole
175 - Thierry Henry
166 - Frank Lampard
163 - Robbie Fowler
159 - Wayne Rooney
150 - Michael Owen
149 - Les Ferdinand
146 - Teddy Sheringham
127 - Jimmy Floyd Hasselbaink
126 - Robbie Keane
125 - Robin van Persie
123 - Jermain Defoe, Dwight Yorke, Nicolas Anelka
113 - Ian Wright
111 - Dion Dublin
110 - Emile Heskey
109 - Ryan Giggs
107 - Paul Scholes
105 - Darren Bent
100 - Matt Le Tissier, Didier Drogba, Steven Gerrard
++++++++++++++++
Paul Dummet aliipa Bao la Pili Newcastle lakini Daniel Sturridge akasawazisha baada ya krosi nzuri ya Luis Suarez.
VIKOSI:
Newcastle: Krul, Debuchy, Yanga-Mbiwa, Williamson, Santon, Cabaye, Tiote, Sissoko, Gouffran, Ben Arfa, Remy
Akiba: Elliot, Dummett, Anita, Obertan, Sammy Ameobi, Shola Ameobi, Cisse.
Liverpool: Mignolet, Johnson, Cissokho, Toure, Skrtel, Sakho, Henderson, Gerrard, Moses, Suarez, Sturridge
Akiba: Jones, Agger, Kelly, Flanagan, Alberto, Sterling, Allen.
RATIBA:
BPL: LIGI KUU ENGLAND
[Saa za Bongo]
Jumapili 20 Oktoba
18:00 Aston Villa v Tottenham Hotspur
Jumatatu 21 Oktoba
22:00 Crystal Palace v Fulham
michezo
BPL: MABINGWA MAN UNITED WABANWA, ARSENAL, CHELSEA HAOO..!
>>MOURINHO APIGWA KADI NYEKUNDU!!
ARSENAL wameendelea kubaki kileleni mwa
BPL, Ligi Kuu England, baada ya kuichapa Norwich City Bao 4-1 Uwanjani
Emirates na Chelsea, waliokuwepo kwao Stamford Bridge, pia kuipiga Bao
4-1 Cardiff City na kukamata Nafasi ya Pili huku Mabingwa Manchester
United wakibanwa kwa Sare ya Bao 1-1 na Southampton ambayo imewaacha
wakiwa Nafasi ya 8.
PATA ZAIDI:
++++++++++++++++
RATIBA/MATOKEO:
Jumamosi 19 Oktoba
Newcastle United 2 Liverpool 2
[Saa za Bongo]
Arsenal 4 Norwich City 1
Chelsea 4 Cardiff City 1
Everton 2 Hull City 1
Manchester United 1 Southampton 1
Stoke City 0 West Bromwich Albion 0
Swansea City 4 Sunderland 0
[Saa za Bongo]
19:30 West Ham United v Manchester City
++++++++++++++++

Bao za Kevin Mirallas na Steven Pienaar
zimewapa Everton ushindi wa Bao 2-1 dhidi ya Hull City ambao walifunga
Bao lao kupitia Yannick Sagbo.
VIKOSI:
Everton: Howard, Coleman, Jagielka, Distin, Baines, McCarthy, Barry, Mirallas, Barkley, Osman, Lukaku
Akiba: Robles, Jelavic, Kone, Deulofeu, Naismith, Pienaar, Stones.
Hull: McGregor, Rosenior, Davies, Faye, Figueroa, Elmohamady, Huddlestone, Livermore, Brady, Aluko, Graham
Akiba: Bruce, Meyler, McShane, Boyd, Sagbo, Harper, Quinn.
ARSENAL 4 NORWICH CITY 1
Bao za Jack Wilshere, Mersut Ozil, Bao 2, na Aaron Ramsey, zimewapa Arsenal ushindi wa Bao 4-1 na kujikita kileleni mwa Ligi.
Bao pekee la Norwich City lilifungwa na Jonny Howson.
VIKOSI:
Arsenal: Szczesny, Sagna, Koscielny, Mertesacker, Gibbs, Wilshere, Arteta, Flamini, Cazorla, Ozil, Giroud
Norwich: Ruddy; Martin, Bassong, Turner, Olsson; Tettey, Fer, Howson; Snodgrass, Pilkington, Hooper.
MAN UNITED 1 SOUTHAMPTON 1
Robin van Persie aliwapa Mabingwa Man
United Bao la kuongoza lakini katika Dakika ya 89 kona ilishindwa
kuokolewa na Phil Jones na Southampton kusawazisha kupitia Lovren.
Katika Mechi hii mara mbili Man United walipiga posti kupitia Wayne Rooney na Van Persie.
VIKOSI:
Man United: De Gea; Rafael, Jones, Evans, Evra, Nani, Carrick, Fellaini, Januzaj, Rooney, van Persie.
Southampton: Boruc, Clyne, Fonte, Lovren, Shaw, Wanyama, Schneiderlin, S. Davis, Lallana, Rodriguez, Osvaldo
CHELSEA 4 CARDIFF 1
Jordon Mutch alitangulia kuipa Bao
Cardiff City lakini Chelsea walijibu mapigo kwa kupiga Bao 4 kupitia
Hazard, Bao 2, Samuel Eto’o na Oscar ambazo ziliwapa Timu ya Jose
Mourinho ushindi wa Bao 4-1 na kuchupa hadi Nafasi ya Pili.
Hata hivyo Mechi hiyo iliingia utata
kwenye Bao la kusawazisha la Chelsea ambalo Kipa Marshall alidunda Mpira
chini baada ya kuudaka na Eto’o kuudokoa na baadae kumfikia Hazard
aliefunga lakini Wachambuzi wamebainisha kuwa Kisheria Goli hilo
lingetakiwa kutokubaliwa.
Mourinho alimaliza Mechi hii akiwa Mtazamaji baada ya kutolewa nje na Refa.
VIKOSI:
Chelsea: Cech; Ivanovic, D Luiz, Terry, Bertrand; Ramires, Lampard; Willian, Mata, Hazard; Eto'o
Cardiff: Marshall; Taylor, Caulker, Turner, Whittingham, Medel, Odemwingie, Gunnarsson, Mutch, Cowie, Theophile-Catherine.
SWANSEA 4 SUNDERLAND 0
Katika Mechi ya kwanza ya Meneja mpya
Gus Poyet wa Sunderland alieshika wadhifa baada ya kutimuliwa Paolo Di
Canio, Sunderland imebamizwa Bao 4-0 na Swansea ambao walipata Bao lao
la kwanza baada ya Phil Bardsley kujifunga mwenyewe.
Bao nyingine za Swansea zilifungwa na Jonathan De Guzman, Wilfried Bony, kwa Penati, na Chico Flores.
VIKOSI:
Swansea: Vorm, Rangel, Chico, Amat, Davies, Britton, de Guzman, Michu, Dyer, Routledge, Bony
Sunderland: Westwood, Celustka, Bardsley, O'Shea, Roberge, Cattermole, Johnson, Larsson, Gardner, Giaccherini, Fletcher.
STOKE CITY 0 WEST BROM 0
VIKOSI:
Stoke: Begovic, Wilkinson, Shawcross, Huth, Pieters, Ireland, Nzonzi, Adam, Walters, Arnautovic, Assaidi
Akiba: Whelan, Palacios, Jones, Wilson, Crouch, Etherington, Sorensen.
West Brom: Myhill, Billy Jones, McAuley, Olsson, Ridgewell, Yacob, Mulumbu, Amalfitano, Sessegnon, Berahino, Anichebe
Akiba: Morrison, Long, Brunt, Luke Daniels, Vydra, Dawson, Anelka.
RATIBA:
BPL: LIGI KUU ENGLAND
[Saa za Bongo]
Jumapili 20 Oktoba
18:00 Aston Villa v Tottenham Hotspur
Jumatatu 21 Oktoba
22:00 Crystal Palace v Fulham
Monday, 14 October 2013
STORY
ROMANCE WITHOUT SEX (4) SEHEMU YA NNE
Ilipoishia sehemu ya Tatu.................................
Nakumbuka siku hiyo
ilikuwa jumamosi nikiwa nimepumzika zangu nyumbani nyakati za jioni mara kidogo
simu yangu ya mkononi ikaita kuangalia kwenye kioo nani aliyekuwa anapiga
alikuwa ni sarah nikapokea’
Hallow’ sarah,
Sarah…. Tinna uko wapi?
….Nipo nyumbani,
Sarah …samahani tinnah nina
matatizo hapa, nahitaji uje unisaidie nipo huku mjini katika bar ya Jb yaani
hapa nimelewa naogopa kuondoka peke yangu njoo unichukue samahani kwa usumbufu
rafiki yangu,
Nikajifikiria nikaona
nikimkatalia haitakuwa vizuri atakuwa amelewa sana nikavaa haraka haraka
nikatoka na kuelekea hadi katika ile bar kufika kweli nikafanikiwa kumkuta na
kwa jinsi nilivyomuona alikuwa amelewa sana
Akaniambia….. nashukuru
rafiki yangu umekuja karibu na wewe upate japo beer moja...
INAENDELEA SEHEMU YA NNE
Sunday, 13 October 2013
NEWS
KISA CHA KUPIGWA RISASI MWANDISHI WA HABARI WA ITV NA RADIO ONE, UFOO SARO NA MAMA YAKE MZAZI KUFARIKI DUNIA PAPO
HAPO HIKI HAPA
Friday, 11 October 2013
MAPENZI
Sababu 7 kwanini mwanamke hataki ku sex na wewe.
Kutokana na takwimu za kitaalamu, Inasemekana inachukuwa sekunde 30 tu
kwa mwanamke kuchukua uamuzi wa ku sex na wewe au kuto sex na wewe.
Kwanini nasema ni sekunde 30?
Inafahamika kuwa wanawake huweza kubadili mawazo yao haraka kuliko
kutamka neno haraka, Na hii ni kwasababu msichana/mwanamke anakuwa
anatongozwa na wavulana wengi kwa wakati mmoja kwa miaka mingi sasa na
yeye inamchukuwa mda kidogo wa kuku ali au ku kataa kuwa na huyo
mvulana. Na hii ndiyo huwa wana iita "female intuition".
Unaweza ukajiuliza kwa nini hasa wanawake wanauwezo wa
kukataa/kubadilisha mawazo mapema hivyo kuliko wavulana na wavulana huwa
hawajali? Nikutokana na mvulana hana umbile ambalo linapelekea msichana
amuone na kutamani kufanya naye mapenzi kam ailivyo kwa wasichan akuwa
na maumbile ambayo huleta matamanio kwa mvulana kuhitaji kufanya se.
Hizi hapa ni sababu 7 ambazo kwanini msichana hataki kufanya sex na wewe.
Kujiamini: Baada ya kuangalia juu ya kuwa mvulana hana mvuto wa
kumsababisha msichana atamani ku sex naye, Kitu kinachosababisha umpate
au usimpate ni kujiamini, Kwa mvulana kumsalimia tu mvulana nitayari ya
kuonyesha una uamini. Msichana hayupo tayari kupanda kitandani na
mvulana ambaye hajui anafanya nini. unaweza ukauliza juu ya wavulana
ambao wana-aibu. Wao wanatakiwa kutumia hata kioo kwaajili ya kutafuta
kuondoa aibu kwa kufanya mazoezi ya approaching. Elewa msichana yeyote
humzarau mvulana ambaye anashindwa kujiamini.
Maneno yako: "Hatupendi mvulana anaye tongoza huku haelekei kwenye main point"
maneno ya wasichana. Sababu nyingine ni kutokuwa na maneno ambayo
hayaja nyooka. Kuwa na story zilizo pinda pinda. Unatakiwa uwe unaongea
kama mtoto mdogo vile anapokuwa akitoa taafifa ili kuweza kusaidiwa
kwenye kumpata mpezi umpendaye.
Muonekano: Tunapoongelea muonekano huwa kunauchunguzi wa mambo
mengi. Je unapokuwa unaongea naye unamtazamaje?, Je huwa una vaa namna
gani?, Unatembea na kina nini? na wakati mwingine mfumo wako wa maisha
upo jinsi ipi? Hakikisha unakuwa Nadhifu (Sio kwa kuwa sharo baro/Yoyoyo!), Kuwa na muonekano nadhifu na wakujali ambao hautamkera msichana.
Tambua hisia zake: Wasichana sio kama wavulana, wavulana huamsha
hisia za mapenzi mapema, lakini msichana kama yupo kwenye siku mbaya ya
kukwazwa, kuuziwa, onyesha tabasamu na utambuwe namna ipi ya
kumburudisha ili kufurahisha moyo wake. Ujue ni wapi ambapo unaweza
kumfurahisha.
Kuwa mtu wa Romantic: Aina yote ya utani na ucheshi mzuri
utakuweka wewe kuwa rafiki wa karibu na mpenzi wako na afurahiye maisha
ya kuwa na wewe. Kuwa mtu wa kumjali kila mara, taka kujuwa haja zake
kwa kumuuliza maswali mazuri na sio kumkaripia kila mara. Kama wewe ni
asiliyako kuwa wa Romantic ionyeshe kwa uhalisia na umliwaze kila mara.
Onyesha/Ishi kwa uhalisia wako: Usijibadilishe ili mpenzi wako
akukubali kwa kujipodowa au kujiweka tofauti na uonekanavyo zaidi ya
kumpenda. Mvulana yeyote anaye tazamia jinsi yeye alivyo ni mvulana
ambaye kila mwanamke anampenda kwakuwa haonyeshi dalili ya mabadiliko.
Usione haya kuongelea juu ya madhaifu yako kwa mpenzi wako, Maovu/Mambo
ambayo wewe huona sio mazuri lakini unayafanya kama Ulevi, Uvutaji nk.
Hii hukusababishia kupata msaada wa mabadiliko kutoka kwa mpenzi wako.
Msikilize mpenzi wako: Inatosha.
Thursday, 10 October 2013
MICHEZO
ARSENAL YATWAA TUZO YA MWEZI, NI WENGER NA RAMSEY!

Arsene Wenger ndie alietwaa Tuzo ya Meneja Bora na Aaron Ramsey kuzoa ya Mchezaji Bora.
Arsenal walianza Msimu huu wa Ligi kwa
kichapo cha Bao 3-1 Nyumbani kwao Emirates mikononi mwa Aston Villa
lakini baada ya Mechi hiyo wameshinda Mechi 5 na Sare moja.
Katika Mwezi Septemba, Arsenal
wamezifunga Tottenham Hotspur, Sunderland, Stoke City na Swansea City na
kutoka Sare na West Bromwich Abion huku Aaron Ramsey akifunga Bao 4.
Mbali ya kushinda kwenye Ligi, Arsenal
pia walishinda Mechi zao mbili za Kundi lao la UEFA CHAMPIONZ LIGI dhidi
ya Marseille na Napoli.
Mwezi Agosti, Tuzo hizi zilitwaliwa na
Brendan Rodgers, Meneja wa Liverpool, na Straika wake, Daniel Sturridge,
ndie alikuwa Mchezaji Bora.
Kwa sasa Ligi Kuu England imesimama kupisha Mechi za Kimataifa na itarudi kilingeni Oktoba 19.
RATIBA:
BPL: LIGI KUU ENGLAND
[Saa za Bongo]
MECHI ZIJAZO:
Jumamosi 19 Oktoba
14:45 Newcastle United v Liverpool
17:00 Arsenal v Norwich City
17:00 Chelsea v Cardiff City
17:00 Everton v Hull City
17:00 Manchester United v Southampton
17:00 Stoke City v West Bromwich Albion
17:00 Swansea City v Sunderland
19:30 West Ham United v Manchester City
Jumapili 20 Oktoba
18:00 Aston Villa v Tottenham Hotspur
Jumatatu 21 Oktoba
22:00 Crystal Palace v Fulham
++++++++++++++++++++++++++
MSIMAMO:
NA |
TIMU |
P |
GD |
PTS |
1 |
Arsenal |
7 |
6 |
16 |
2 |
Liverpool |
7 |
6 |
16 |
3 |
Chelsea |
7 |
6 |
14 |
4 |
Southampton |
7 |
5 |
14 |
5 |
Man City |
7 |
9 |
13 |
6 |
Tottenham |
6 |
4 |
13 |
7 |
Everton |
7 |
1 |
12 |
8 |
Hull |
7 |
-1 |
11 |
9 |
Man Utd |
7 |
1 |
10 |
10 |
Aston Villa |
7 |
1 |
10 |
11 |
Newcastle |
7 |
-3 |
10 |
12 |
West Brom |
7 |
1 |
9 |
13 |
West Ham |
7 |
2 |
8 |
14 |
Cardiff |
7 |
-2 |
8 |
15 |
Swansea |
7 |
-3 |
7 |
16 |
Stoke |
7 |
-3 |
7 |
17 |
Fulham |
7 |
-4 |
7 |
18 |
Norwich |
7 |
-4 |
7 |
19 |
Crystal Palace |
7 |
-8 |
3 |
20 |
Sunderland |
7 |
-11 |
1 |
Friday, 4 October 2013
LOVE STORY
ROMANCE WITHOUT SEX(3) SEHEMU YATATU
ILIPOISHIA SEHEMU YA PILI......
wanafunzi wa kike walio na tamaa walikuwa wakimshobokea,na kwa kuwa yeye anapenda kuonekana na idadi kubwa ya wanawake alifanya nao mapenzi na kuwapatia pesa nilipo ingia tu pale chuo stori nyingi zilimzungumzia yeye sikupenda tabia aliyokuwa anaifanya siku moja wakati napitapita katika maeneo ya chuo nilikutana na aron pale pale alinisimamisha
“ dada samahani nina mazungumzo na wewe’
huku mkono wake ukiwa katika bega langu ili kunizuia
nisipite,
‘nikamjibu…. ‘embu
niache kwani lazima unishike’ huku nikiwa nimekunja uso wangu,
‘akanijibu…. ‘kwa nini
umekasirika kiasi hicho kwani nimekukosea? Nahitaji nipate muda wa kuongea na
wewe,
Nikamjibu….;no sina
muda wa kuongea na wewe jaribu kwengine, nikaondoka zangu nikamuacha hapo akiwa
amesimama hakuamini kilichotokea hakuchoka aliendelea kunisumbua kila mara
tulipo kutana na msimamo wangu ukawa hivyo sikutaka kumpa nafasi ya kuongea na
mimi ..........
Subscribe to:
Posts (Atom)