Connection

Services

Computer Maintanance

Computer Supply

Laptop Repair

Networking Installation



Learn more

Wednesday, 30 October 2013

MICHEZO

WAPENZI NA MASHABIKI WA MBEYA CITY FC WAVUNJA VIOO YA MAGARI YA TIMU YA TANZANIA PRISONS NA KUMUUMIZA MCHEZAJI MMOJA MAOMBI KWA TFF IWAKUNJE ANGALI WABICHI KUONA PICHA ZAIDI 

VIDEO

Monstar feat Big Jay P & Jim Jay - Nimefika 

 Baada ya kufanya audio ya nyimbo yake ijulikanayo kama nimefika iliyofanya vizuri katika radio station mbalimbali nchini ameamua kuwaletea kwenu video yake na huyo si mwingine ni monstar akisindikizwa na big jay p &jim jay

Wednesday, 23 October 2013

FREEMASONS

HISTORIA YA KANISA KATOLIKI NA MWINGILIANO WA FREEMASON KATIKA KULIBOMOA
 
 


Kwa uchache kanisa la Roman Catholic ni kanisa la Roma, kama linavyojulikana, kanisa la Roma.Roma ni mji mashuhuri uliopo Italia. Mji wa Roma una historia ndefu katika dunia na ni mji uliotabiriwa na Mungu pia.

Dunia yetu imewahi kushuhudia ikitawaliwa na serikali moja katika awamu nne. Awamu ya kwanza ilikuwa ni serikali ya dunia iliyopewa jina la Babeli. Rais au mfalme wakwanza katika serikali hiyo alikuwa ni Nimrodi akifuatiwa na Nebukadneza pamoja na marais waliomfuata. Asili ya serikali hii ni mnara wa Babeli uliojengwa na mfalme wa kwanza wa Babeli, rais Nimrodi. Eneo la sasa yalipokuwa makao makuu ya serikali ya dunia awamu ya kwanza ni Iraqi.

Awamu ya pili ya serikali ya dunia iliitwa Mede/Uajemi ambapo mmoja wa marais wa serikali hii aliitwa Dario.Eneo la sasa yalipokuwa makao makuu ya serikali hii ni Iran ya leo. Awamu ya tatu ya serikali ya dunia iliitwa serikali ya Uyunani au Greece government. Mmoja wa marais mashuhuri katika serikali hii alikuwa ni Alexander mkuu (Alexander the Great). Awamu ya nne ya serikali ya dunia iliitwa‘Roman Empire’ au himaya ya Roma. Mmoja wa marais wa serikali hii alikuwa ni Constantine. Serikali hii ndiyo iliyotawala kwa muda mrefu kuliko serikali zote zilizoitangulia.

Wakati serikali hizo zinatawala dunia, dini ya kweli ilikuwa haijatikiswa hadi serikali ya Roma ilipoanza kutawala. Je, dini ya freemasons ilianza lini? Ukiondoa dini aliyoianzisha Mungu katika bustani ya Edeni, dini ya freemasons ndiyo dini iliyoanza siku nyingi kuliko dini nyingine.Dini hii ilianzishwa pia kwenye bustani ya Eden mwanzilishi wake akiwa ni Shetani. Alimtumia Kaini anayejulikana kwa freemasons wa leo kama ‘first freemason’ yaani mjenzi huru wa kwanza.

Hatimaye rais Constantine kwa nusu aliamua kuachana na ibada za kipagani na kujiunga na Ukristo. Hii ilikuwa ni kutimizwa kwa andiko la 2 Wathesalonike 2:3,4 maana ulikuwa ni ukengeufu wa kanisa la mitume sehemu ya kwanza uliopelekea kuanzishwa kwa dini iliyochanganya ukweli na uongo. Kwa nini dini hii ilisubiri hadi awamu ya nne ya serikali ya dunia? Pengine nizungumzie kidogo maana ya namba nne kama inavyotumiwa na Mungu. Namba nne sio namba maalumu kwa freemasons lakini ni muhimu sana kwa Mungu. Namba nne inamaanisha kukomaa kwa mavuno na kuvunwa. Tazama hapa: “Akawaambia ufalme wa Mungu, mfano wake ni kama mtu aliyemwaga mbegu juu ya nchi…..Maana nchi huzaa yenyewe, kwanza jani, tena(pili)suke, kisha(tatu),ngano pevu katika suke. Hata (nne)matunda yakiiva mara aupeleka mundu, kwa kuwa mavuno yamefika” Marko 4:26 –kwenye mabano ni ufafanuzi wa mwandishi. Hizo ni hatua nne kufika kuvunwa kwa mbegu njema. Vipi habari ya mbegu mbaya? “Lakini kila mmoja hujaribiwa(kwanza)kwatamaa yake mwenyewe. Halafuile tamaa ikisha kuchukua mimba(pili), huzaa dhambi (tatu),na ile dhambi ikiisha kukomaa, huzaa mauti(nne)”Yakobo 1:14,15. Unaweza pia kujua ni kwa nini waisraeli walitumia miaka 40 (4x10) kutoka Misri hadi Kanaani; kwa nini Yesu, Musa walifunga kwa siku 40 (4x10). Kumbuka kwamba namba 10 kwa Mungu inawakilisha ‘ukamilifu wa Mungu’ na namba 7 inawakilisha ‘utimilifu wa Mungu’.Kuna tofauti kati ya ‘ukamilifu’ – ‘perfection’ na ‘utimilifu’ – ‘fulness’.Kitu kinaweza kuwa ‘timilifu’ lakini kisiwe ‘kamilifu’ lakini kitu hakiwezi kuwa ‘kamilifu’ bila ya kuwa ‘timilifu’. Kwa mfano mapigo 7 ni utimilifu wa ghabu ya Mungu lakini ukamilifu wa hukumu yake utafikiwa wakati Shetani, dhambi na wadhambi watakapoangamizwa motoni. Mungu alitoa amri 10 kwa wanadamu ikimaanisha kwamba amri hizo zinawakilisha tabia ya Mungu ambayo ni ‘kamilifu’. Lakini pia tunasoma “….Wewe wakitia muhuri kipimo, umejaa hekima na ‘ukamilifu’ wa uzuri” kisha anaanza kutaja ni kwa namna gani alikuwa ‘mkamilifu’ wa uzuri akisema “1)Akiki, 2)Yakuti manjano, 3)Almasi, 4)zabarajadi, 5)shohamu, 6)Yaspi, 7)yakuti samawi, 8)zumaridi, 9)baharamani na 10)dhahabu. Lusifa alikuwa‘mkamilifu wa uzuri’ kutokana na kuvikwa aina 10 za madini ya thamani kubwa. Mungu ni‘mkamilifu’ kutokana na kuwa na tabia inayoelezewa kwenye amri 10katika Kutoka 20:4-17. Je wewe ni mkamilifu wa tabia kama ya Mungu kwa kuzitunza amri 10? Tafakari!
 
 
FREEMASONS NA FAMILIA 13 ZA ILUMINATI


NI chama cha Prieure de Sion (Priory de Sion) kilichoanzishwa na familia ya 11 ya Illuminati inayoitwa Freeman Illuminati bloodlines ndicho kilichosababisha kuanzishwa kwa ‘Uprotestant’ au ‘Upinzani’ ndani ya dini. Wakainuka mashujaa wengi waliopinga mafundisho machafu yaliyoingizwa ndani ya imani ya kweli ili kutetea neno la Mungu litawale tofauti na mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu. Miongoni mwa mashujaa walioinuka kupingana na mafundisho ya chama cha Prieure de Sion alikuwa Martin Luther. Kumbuka kwamba wapinzani ‘Protestants’hawa walikuwa wanapinga mafundisho wakiwa ndani ya mifumo ya dini zao. Hata hivyo hawakufanikiwa kuleta matokeo mazuri ya upinzani wao na hivyo wakaamua kutoka na kujitenga na dini wakiwa na baadhi ya mafundisho machafu waliyoyarithi kutoka kwenye mifumo potofu ya kidini. Wakiwa wamejitenga, sasa waliamua kufanya ‘matengenezo’ kwa lengo la kuondoa mafundisho machafu na kubaki na mafundisho safi kama ilivyoagizwa na Mungu. Hivyo jina lao wakaitwa‘Reformers’ au ‘Wanamatengenezo’ badala ya ‘Protestants’ au ‘wapinzani’.‘Waprotestants’ wa awali walijua maana ya kanisa na ndio maana hawakuona shida kujitenga na mifumo iliyokuwa inadhaniwa kuwa ndiyo kanisa.Lakini je, nani aliyeanzisha ‘Uprotestant’na ‘matengenezo’? Ellen White anasema: “Christ was a protestant...The Reformersdate back to Christ and the apostles. They came out and separated themselves from a religion of forms and ceremonies. Lutherand his followers did not invent the reformed religion. They simply accepted it as presented by Christ and the apostles." E.G. White, Review and Herald, vol. 2, 48, col. 2.Hapo anamaanisha kwamba ‘Kristo (Yesu) alikuwa ni Mprotestant….wanamatengenezo waliiga kutoka kwa Kristo na mitume. Walijitenga na dini ya desturi na sherehe. Luther na wafuasi wake hawakuanzisha dini ya matengenezo. Waliikubali kama ilivyoonyeshwa na Kristo na mitume’ [rejea: R&H, Vol. 2, 48, col.2].

Ni kwa namna gani Kristo alijitenga? E. White anaendelea kusema: “Pharisees and Sadducees were alike silenced. Jesus summoned His disciples, and prepared to leave the temple, not as one defeated and forced from the presence of his adversaries, but as one whose work was accomplished. He retired a victor from the contest”. {DA 620.2}

‘Mafarisayo na masadukayo walinyamazishwa. Yesu aliwakusanya wanafunzi wake, na akawaandaa kuliacha hekalu, sio kama aliyeshindwa na kulazimishwa kuondoka kwa maadui zake, bali kama ambaye kazi yake ilikuwa imekamilika. Alikuwa ni mshindi katika mashindano”. {DA 620.2}

Biblia inasema kwamba Yesu alijitahidi kupingana na mafarisayo na masadukayo akiwa ndani ya mfumo wa dini ya kiyahudi na sasa alikuwa amefikia mwisho wa upinzani wake na akaamua kujitenga moja kwa moja na mfumo wa dini hiyo ili awafundishe vizuri wanafunzi wake ambao walikuwa tayari kukubali mafundisho safi. E.G. White anasema:" Hitherto He had called the temple His Father's house; but now, as the Son of God should pass out from those walls, God's presence would be withdrawn forever from the temple built to His glory. Henceforth its ceremonies would be meaningless, its services a mockery. {DA 620.4}Hatimaye Yesu na wanafunzi wake walijitenga na hekalu lililokuwa mpendwa wao. Lakini kwa sababu viongozi wa hekalu walikataa kufuata mafundisho ya neno la Mungu peke yake, Mwana wa Mungu hakuona sababu ya kuendelea kubaki ndani ya hekalu ingawa “Alikuwa akiliita hekalu kuwa ni nyumba ya Baba yake; lakini sasa, kama Mwana wa Mungu ambavyo akipita kutoka katika kuta hizo, uwepo wa Mungu ungeondolewa milele usionekane ndani ya hekalu lililojengwa kwa utukufu Wake. Hivyo sherehe zilizofanyika ndani ya hekalu hazikuwa na maana, huduma zake zikawa dhihaka”. {DA 620.4}. Hivyo ndivyo alivyofanya Martin Luther na wafuasi wake.

Baada ya kifo cha Martin Luther, wafuasi wake waliendelea katika kufanya matengenezo. Hata hivyo kwa sababu freemasons hawakati tamaa, matengenezo yalikoma na kuanza kurudi nyuma taratibu ambapo leo hii wale wanaoitwa ‘Walutheri’ wameungana tena na mfumo ambao mwanzilishi wao, Martin Luther, aliuiita ‘mfumo mchafu’.

Wakati matengenezo yanaendelea, ulikuwa ni wakati wa kutimizwa kwa unabii wa siku 1260 sawa na miaka 1260 kama ilivyotabiriwa na nabii Yohana. Wakati huo kulianzishwa matengenezo mengi na kupelekea kuanzishwa kwa mifumo mingine ya makanisa. Baadhi ya makanisa yaliyoanzishwa yalikuwa haya:

Anglican: Lilianzishwa huko England na mfalme wa Uingereza ili kupinga kanisa la Roma. Kiongozi mkuu wa kanisa hilo ni Malkia wa Uingereza. Hata hivyo wachunguzi wa dini ya freemasons wanasema kwamba familia ya Malkia ni familia mojawapo kati ya familia 13 za waumini wa Freemasons.

Presbyterian: Mwanzilishi ni John Calvin mwaka 1509 – 1564 na John Knox 1505 – 1572. Kanisa hili lilijitenga na Roma likiwa na motto “Chunguza maandiko” maana liliona kwamba kanisa la Roma linakwenda kinyume na maandiko. Hata hivyo wafuasi wa John Calvin na John Knox wameshindwa kufikia malengo ya kuyachunguza maandiko na kufuata kile asemacho Mungu na badala yake wamekubali kurudi walikotoka!

MENNONITE: Lilizaliwa rasmi mwaka 1525 – 1530 na Conrad Grebel na wenzake akiwemo Zwingli Ulrich aliyetofautiana na Martin Luther juu ya somo la pasaka. Hawa walikataa ubatizo wa Roma wa kunyunyizia maji na jina jingine wanaitwa “Meno Knights” majina ambayo yanafanana na vikundi vya Freemason kama vile “The knights of Eulogia”(Skull and Bones), “The knights of Malta”. Ingawa lengo la Zwingli Ulrich lilikuwa zuri, baada ya kifo chake wafuasi wake walikubali kuingiliwa na freemasons na hivyo kushindwa kufikia lengo lililokusudiwa.

LUTHERAN: Mwanzilishi ni Martin Luther mwaka 1517. Alikuwa ni Mjerumani aliyesomea ukasisi wa kanisa la Roma na mwaka 1511 akapata Phd katika chuo kikuu cha Wattenberg. Alipingana na kanisa lake la Roma na kuandika sababu 95 zinazopinga mafundisho ya Roma ndipo akajitenga na Roma na hivyo wafuasi wake wakaendelea kutumia jina la Lutheran, yaani wafuasi wa Luther. Wafuasi wa Luther hawakuendelea mbele na sasa wamerudi kwenye makosa aliyokuwa akiyapinga Luther. Je, Lutheran wa leo wanafuata kweli nyayo za Martin Luther? Au wametekwa kwa matumizi ya njama ya “Following Gurus”yaani kufuata kila wasemacho viongozi? Tafakari!

Moravian: Mwanzilishi ni John Huss aliyezaliwa mwaka 1366 na kuchomwa moto na papa hadi kufa mwaka 1416 baada ya kulipinga kanisa la Roma. Wafuasi wake hadi leo wanaitwa kanisa la Moravian. Kwa bahati mbaya wafuasi wa John Huss hawakuendelea kufanya matengezo ili kusonga mbele zaidi ya Huss na kibaya zaidi ni kwamba wanarudi nyuma badala ya kusonga mbele. Leo Huss akifufuka atashangaa kuona jinsi wafuasi wake walivyoacha kanuni alizozianzisha. Je, wamoravian wa leo wako tayari kuchomwa moto kwa kutetea ukweli kama John Huss? Tafakari!

Baptist: Ni kanisa lililoanzishwa na wafuasi wa Martin Luther ambao walijitenga na Lutheran mwaka 1600 huko Uholanzi na Uingereza baada ya kuona kwamba wafuasi wenzao wameacha kanuni alizoziweka Martin Luther. Hata hivyo kanisa la Baptist la leo haliendeleza jitihada za Luther na sasa badala ya kusonga mbele linapiga ‘marktime’ likiwa limegeuka nyuma.

Salvation Army (Jeshi la Wokovu): Mwanzilishi ni Booth mwaka 1878. Kanisa hili lilianzishwa na wafuasi wa freemasons kwa lengo la kuchafua matengenezo ya kweli. Kumbuka kwamba Shetani hutumia fursa inayotolewa na Mungu akiwa na lengo la kuwafanya watu washindwe kujua kipi ni cha kweli na kipi sio. Katika kila matengenezo ya kweli, pamekuwepo na matengenezo bandia.

Marmon church: Mwanzilishi ni Joseph Smith (1805 – 1844). Kanisa hili linajulikana pia kama The church of Jesus Christ of later day saints. Kanisa la Mormon lilianzishwa na wafuasi wa freemason wakiwa na lengo la kuchafua matengenezo ya kweli. Mitt Romney ni muumini wa kanisa la Mormon.

Methodist: Kiongozi Mwanzilishi ni John Wesley. Lilianzishwa na watu 17 wa familia moja mwaka 1738 likiwa na lengo la kupinga mafundisho ya freemasons. Kanisa hilo halijakamilisha lengo la matengenezo kutokana na ukweli kwamba wafuasi wake hawana mwamko aliokuwa nao John Wesley.

Watch Tower: Mwanzilishi ni Charles T. Russel 1852 – 1916 na mwenzake J. Lutheford 1869 – 1942. Baba yake Charles T. Russel alikuwa ni mchungaji wa Prebyterian. Mnamo mwaka 1932 huko Marekani jina la kanisa hilo lilibadilishwa na kuitwa Mashahidi wa Yehova. Markus Mpangala ameelezea kwa kirefu chanzo cha dhehebu hili akiainisha kwamba waanzilishi walikuwa ni Freemasons kutoka kwenye familia ya Illuminati inayoitwa Russel illuminati bloodline ambayo nimeshaielezea kwenye makala zilizopita.

Brethen Assemblies: Mwanzilishi ni ndg. Dabi 1800 – 1882 ambaye alikuwa ni muumini wa Anglican na akajitenga na kanisa hilo na kuanzisha kanisa lake. Dabi aliamua kujitenga na Anglican kutokana na kanisa hilo kutawaliwa na familia ya freemasons.

Makanisa ya Kipentekoste au kilokole: Ni makanisa yaliyoanzishwa miaka ya hivi karibuni. Makanisa haya yalianzishwa huko Kansas City Marekani mwaka 1901kwa lengo la kupata nguvu ya kile kinachoaminiwa kuwa roho mtakatifu. Je, unajua uhusiano uliopo kati ya muziki wa‘rap’ au ‘kufoka’ na uvuvio wa kunena kwa lugha kutoka kwa kile kinachoaminiwa kuwa ni nguvu za roho mtakatifu wakati waumini wa kilokole wanapokuwa wakiomba? Kumbuka kwamba Muziki wa rap ulianzia huko Kansas City Marekani, mahali ambako makanisa ya kipentekoste yalianzishwa. Panapo majaaliwa, nitakuwa na makala ndefu kuhusu asili, lengo na nguvu inayoonekana kwa viongozi wa makanisa ya kilokole kama akina T.B Joshua wa SCOAN la huko Nigeria. Kwa wakati huu nasema,‘Soma Biblia na Tafakari’!

Gospel terbenacle: Mwanzilishi ni Pastor A.B. Simpson mwaka 1881 akitokea Presybiterian.

Christian Churches: Mwanzilishi ni Thomas Chapel mwaka 1807 akitokea Presybiterian.

Seventh –Day Advetist Church: Mwaka 1844 baada ya kutokurejea kwa Yesu duniani kama ilivyohubiriwa na muhubiri mashuhuri aitwaye William Miller, watu wengi walivunjika moyo isipokuwa watu 50 tu ndio walioendelea kujifunza Biblia miongoni mwao akiwa ni Ellen G. White. Watu hao waliendelea kuchunguza makosa yaliyofanywa na William Miller maana wao pia waliamini juu ya marejeo ya Yesu tarehe 22/10/1844. Hatimaye mwaka 1863 kanisa hilo likapewa jina la Seventh –Day Adventists Church huku likiwa na motto au kauli mbiu ya “Amri za Mungu na imani ya Yesu na Ujumbe wa malaika watatu” na baadaye kanisa hilo likawa chini ya rais wa General Conference ya SDA makao makuu yake yakiwa huko Marekani. Rais huyo ndiye kiongozi (kichwa) mkuu wa kanisa hilo duniani na huchaguliwa kila baada ya miaka mitano. Wakati viongozi wa kanisa walipokutana ili kujadili mambo ya kanisa, palikuwa na ‘Mwenyekiti’(Chairman of General Conference) ambaye aliongoza kikao hadi mwisho. Baada ya kikao kumalizika, mwenyekiti huyo alimaliza muda na kazi yake. Hata hivyo kulitokea mabadiliko kutoka mwenyekiti wa baraza kuu hadi na rais wa kanisa ulimwenguni. Kila baada ya miaka mitano hufanyika uchaguzi wa kumpata rais wa kanisa hilo. Tofauti na makanisa mengine, kanisa hili linaabudu siku ya Jumamosi wakati makanisa mengine yanaabudu siku ya jumapili. Sasa hivi kuna makanisa mengi ya SDA ambayo yametoka ndani ya kanisa la ‘General conference of Seventh-Day Adventists’(GCSDA) kwa madai kwamba kanisa hilo limeingiliwa na freemasons. Wengi wa waumini wa SDA waliojitenga na GCSDA wanasema kwamba walikuwa wakipinga‘protest’ mafundisho machafu huku wakiendelea kuwa ndani ya GCSDA lakini hawakuweza kuleta mabadiliko yoyote maana hali ilikuwa inazidi kuwa mbaya. Hatimaye waumini hao waliamua kufuata nyayo za akina Luther za kujitenga na sasa wanafanya ‘reformation’ au ‘matengenezo’ hatua kwa hatua maana walitoka na mafundisho machafu ambayo waliyapokea kama kweli wakiwa ndani ya GCSDA.Waumini hao wanadai kwamba walijitenga na GCSDA kwa sababu


Je, madai hayo ni kweli? Tafakari!

Msingi wa kanisa la SDA au ‘Wasabato’ kama inavyojulikana kwa wengi,kuabudu siku ya jumamosi, ni kile kilichoandikwa na Mungu wakati wa uumbaji, kwamba aliumba kwa siku 6 na siku ya 7 akastarehe, akaibariki na akapumzika kisha akawaambia waisraeli: “Ikumbuke siku ya Sabatouitakase….” Kutoka 20:8.

Kutokana na kazi ya chama cha Priory de Sion kwa kuingiza mafundisho machafu ndani ya imani safi, kulitokea utitiri wa makanisa mengi ambayo yanadai kupinga uchafu huo. Hata hivyo wengi wa waumini wa madhehebu hayo ama hawajui asili ya dhehebu lao au hawajui asili ya kile wanachokiabudu. Wengi wamefundishwa na waalimu wa dini na kuwaamini bila hata ya kutaka kuhakikisha kwa akili zao kile wanachofundhishwa. Mungu ametoa nafasi ya kufahamu ukweli kwa kila mmoja wetu bila ya kutegemea viongozi wa dini. Umewahi kufikiri kwamba kama ungekuwa unaishi duniani wewe peke yako, ungemtegemea nani? Tafakari!

 

Tuesday, 22 October 2013

michezo

UCL: YAINGIA MECHI ZA TATU ZA MAKUNDI, NI MECHI ZA ‘NJE, NDANI!’


>>JUMANNE MVUTO NI ARSENAL v DORTMUND, AC MILAN v BARCA!
RATIBA-Mechi za Tatu:
Jumanne 22 Oct 2013
FC Steaua BucureÅŸti v FC Basel 1893
FC Schalke v Chelsea FC
Arsenal FC v Borussia Dortmund
Olympique de Marseille v SSC Napoli
FC Porto v Football Club Zenit
FK Austria Wien Club v Atlético de Madrid
Celtic FC v AFC Ajax
AC Milan v FC Barcelona

+++++++++++++++++++++++++++++++
UCL, UEFA CHAMPIONZ LIGI, inaingia kwenye Mechi zake za Tatu kwa Makundi hapo Jumanne na Jumatano na hizi ni muhumu mno hasa kwa vile Timu zinazokutana katika Mechi hizi ndizo hizo hizo ambazo zitacheza tena kwenye Mechi za Nne.
Hili pia limebainishwa na Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger, ambae amesema Mechi zao mbili mfululizo na Borussia Dortmund ndio zitakazoamua nani atafuzu toka Kundi lao.
Jumanne Oktoba 22, Arsenal wapo kwao Emirates kuikaribisha Borussia Dortmund na Timu hizi zitarudiana tena katika Mechi inayofuata hapo Novemba 6.
+++++++++++++++++++++++++++++++
Arsenal v Dortmund-Uso kwa Uso:
-Wamekutana Mara 4
-Arsenal Wameshinda 2, Dortmund 1 Sare 1
+++++++++++++++++++++++++++++++

UCL_2013_LOGOTayari Arsenal imeshazifunga Marseille na Napoli kwenye Kundi F.
Wenger amesema: “Dortmund wameimarika zaidi na ni Timu ngumu sasa. Nadhani hata sie tuko imara. Hizi Mechi za Tatu na za Nne ndio zinaamua nani anafuzu.”
Pia Wenger amesema anaamini kuwa Msimu huu wanaweza kwenda mbali kwenye UCL na kunyooshea kidole Ratiba ngumu kwao kwa Miaka iliyopita.
Amesema: “Katika Miaka mitano au sita iliyopita tulikuwa hatuna bahati kwa kukutana na Timu ngumu kama vile Barcelona, Bayern Munich au AC Milan, na ilikuwa ni Mechi ngumu zisizotabirika. Labda Msimu huu tutafika mbali hadi Robo fainali, Nusu Fainali na hata Fainali, kwa nini isiwezekane?”
Arsenal watatinga kwenye Mechi hii na Dortmund wakiwa na Majeruhi kadhaa wakiwemo Mathieu Flamini, Theo Walcott, Yaya Sanogo, Lukas Podolski, Alex Oxlade-Chamberlain na Abou Diaby.
Wakati Arsenal abimbirika kwao Emirates kwa kucheza na Dortmund, wenzao Chelsea watasafiri kwenda Germany kucheza na FC Schalke, Timu ambayo inaongoza Kundi E ikiwa na Pointi 6, na kufuatiwa na Chelsea na FC Basel zenye Pointi 3 kila mmoja huku mkiani wapo Steau Bucharest wenye Pointi 0.
Kwenye Kundi hili, Chelsea walianza kwa kuchapwa kwao Stamford Bridge Bao 2-1 na FC Basel na kisha kuifunga Steau Bucharest Bao 4-0.
Mechi nyingine ambayo Wadau wataifuatilia kwa vile tu ni ya Vigogo Barani Ulaya ni ile kati ya AC Milan na Barcelona itakayochezwa huko San Siro.
RATIBA-Mechi za Tatu:
Jumatano 23 Oct 2013
Bayer 04 Leverkusen v FC Shakhtar Donetsk
Manchester United FC v Real Sociedad de Fútbol
Real Madrid CF v Juventus
Galatasaray A.Ş. FC København
RSC Anderlecht v Paris Saint-Germain
SL Benfica v Olympiacos FC
PFC CSKA Moskva v Manchester City FC
FC Bayern München v FC Viktoria Plzeň
+++++++++++++++++++++++++++++++
MATOKEO-Mechi za Pili:
Jumanne 1 Oktoba 2013
Football Club Zenit 0 FK Austria Wien 0
FC Basel 0 FC Schalke 1
FC Steaua BucureÅŸti 0 Chelsea 4
Borussia Dortmund 3 Olympique de Marseille 0
Arsenal 2 SSC Napoli 0
FC Porto Club 1 Atlético de Madrid 2
AFC Ajax 1 AC Milan 1
Celtic 0 FC Barcelona 1
+++++++++++++++++++++++++++++++
Jumatano 2 Oktoba 2013 
PFC CSKA Moskva 3 FC Viktoria Plzeň 2
FC Shakhtar Donetsk 1 Manchester United 1
Bayer 04 Leverkusen 2 Real Sociedad de Fútbol 1
Juventus 2 Galatasaray 2.
Real Madrid 4 FC København 0
Paris Saint-Germain 3 SL Benfica 0
RSC Anderlecht 0 Olympiacos FC 3
Manchester City FC 1 FC Bayern München 3
+++++++++++++++++++++++++++++++
MATOKEO-Mechi za Kwanza:
Jumanne 17 Sep 2013
Manchester United FC 4 Bayer 04 Leverkusen 2
Real Sociedad de Fútbol 0 FC Shakhtar Donetsk 2
Galatasaray A.Åž. 1 Real Madrid CF 6
FC København 1 Juventus 1
SL Benfica 2 RSC Anderlecht 0
Olympiacos FC 1 Paris Saint-Germain 4
FC Bayern München 3 PFC CSKA Moscow 0
FC Viktoria Plzeň 0 Manchester City FC 3
Jumatano 18 Sep 2013
FC Schalke 3 FC Steaua BucureÅŸti 0
Chelsea 1 FC Basel 2
Olympique de Marseille 1 Arsenal 2
SSC Napoli 2 Borussia Dortmund 1
FK Austria Wien 0 FC Porto 1
Club Atlético de Madrid 3 Football Club Zenit 1
AC Milan 2 Celtic FC 0
FC Barcelona 4 AFC Ajax 0
+++++++++++++++++++++++++++++

KUNDI A

NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Manchester United
2
1
1
0
5
3
2
4
2
FC Shakhtar Donetsk
2
1
1
0
3
1
2
4
3
Bayer 04 Leverkusen
2
1
0
1
4
5
-1
3
4
Real Sociedad
2
0
0
2
1
4
-3
0
KUNDI B
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Real Madrid CF
2
2
0
0
10
1
9
6
2
Juventus
2
0
2
0
3
3
0
2
3
FC Kobenhavn
2
0
1
1
1
5
-4
1
4
Galatasaray Spor Kulübü
2
0
1
1
3
8
-5
1
KUNDI C

NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Paris Saint-Germain
2
2
0
0
7
1
6
6
2
Olympiacos CFP
2
1
0
1
4
4
0
3
3
Benfica
2
1
0
1
2
3
-1
3
4
RSC Anderlecht
2
0
0
2
0
5
-5
0
KUNDI D

NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Bayern Munich
2
2
0
0
6
1
5
6
2
Manchester City
2
1
0
1
4
3
1
3
3
CSKA Moskva
2
1
0
1
3
5
-2
3
4
FC Viktoria Plzen
2
0
0
2
2
6
-4
0
KUNDI E

NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Schalke 04
2
2
0
0
4
0
4
6
2
Chelsea FC
2
1
0
1
5
2
3
3
3
FC Basel 1893
2
1
0
1
2
2
0
3
4
FC Steaua Bucuresti
2
0
0
2
0
7
-7
0
KUNDI F

NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Arsenal FC
2
2
0
0
4
1
3
6
2
BV Borussia Dortmund
2
1
0
1
4
2
2
3
3
Napoli
2
1
0
1
2
3
-1
3
4
Olympique de Marseille
2
0
0
2
1
5
-4
0
KUNDI G

NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Atletico de Madrid
2
2
0
0
5
2
3
6
2
FC Porto
2
1
0
1
2
2
0
3
3
FK Austria Wien
2
0
1
1
0
1
-1
1
4
Zenit St. Petersburg
2
0
1
1
1
3
-2
1
KUNDI H

NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
FC Barcelona
2
2
0
0
5
0
5
6
2
AC Milan
2
1
1
0
3
1
2
4
3
Ajax Amsterdam
2
0
1
1
1
5
-4
1
4
Celtic
2
0
0
2
0
3
-3
0

Sunday, 20 October 2013

NEWS


  MAJONZI MTANGAZAJI MKONGWE JULIAS NYAISANGA AFARIKI DUNIA
 
 
Habari mbaya na zenye kusikitisha ambazo mtandao huu umezipata kutoka mkoani morogoro asubuhi hii ni kuwa mtangazaji mkongwe hapa nchini Julius Nyaisanga maarufu kama "Uncle J" (pichani) amefariki dunia

Kwa mujibu wa chanzo chetu taarifa za kifo chake zimezagaa asubuhi hii na bado haijafahamika zaidi sababu za kifo chake

Hadi Julius Nyaisanga anafariki dunia alikuwa meneja wa kituo cha redio Abood FM cha mjini Morogoro, na alijulikana sana tangu akifanya kazi Redio Tanzania sasa hivi inajulikana kama TBC Taifa pia aliwahi kufanya kazi kituo cha ITV na Radio One stereo
 
 julias nyaisanga katika picha wa kati kati


Endelea kusoma blog hii tutakuletea taarifa zaidi za masiba huu mzito kwa jinsi tunavyozidi kuzipata

Saturday, 19 October 2013

MICHEZO

BPL: NEWCASTLE, LIVERPOOL SARE 2-2!

>>GERRARD APIGA BAO LA 100 KWENYE LIGI!
RATIBA/MATOKEO:
Jumamosi 19 Oktoba
Newcastle United 2 Liverpool 2
[Saa za Bongo]
17:00 Arsenal v Norwich City
17:00 Chelsea v Cardiff City
17:00 Everton v Hull City
17:00 Manchester United v Southampton
17:00 Stoke City v West Bromwich Albion
17:00 Swansea City v Sunderland
19:30 West Ham United v Manchester City
++++++++++++++++
LEO, Uwanjani St James Park, Newcastle zilitoka Sare ya Bao 2-2 katika Mechi ya BPL, Ligi KuuSTEVEN_GERRARD_SHOUTING England, na kuifanya Liverpool itwae uongozi wa Ligi, pengine kwa muda tu, huku Nahodha wao Steven Gerrard akifunga kwa Penati na hilo ni Bao lake la 100 kwenye Ligi na kumfanya awe Mchezaji wa 24 kufikisha Bao 100 au zaidi kwenye BPL.
++++++++++++++++
MAGOLI:
Newcastle 2
-Cabaye Dakika ya 23
-Dummett 56
Liverpool 2
-Gerrard Dakika ya 42 (Penati)
-Sturridge 72
++++++++++++++++
Newcastle ndio walitangulia kufunga katika Dakika ya 39 kwa mzinga mkali wa Mita 25 wa Yohan Cabaye na kwenye Dakika ya 39 Mapou Yanga-Mbiwa alipewa Kadi Nyekundu kwa kumwangusha Luis Suarez na pia kutolewa Penati ambayo Steven Gerrard
++++++++++++++++
WAFUNGAJI BORA LIGI KUU ENGLAND [Goli 100 na zaidi]:
260 - Alan Shearer
187 - Andy Cole
175 - Thierry Henry
166 - Frank Lampard
163 - Robbie Fowler
159 - Wayne Rooney
150 - Michael Owen
149 - Les Ferdinand
146 - Teddy Sheringham
127 - Jimmy Floyd Hasselbaink
126 - Robbie Keane
125 - Robin van Persie
123 - Jermain Defoe, Dwight Yorke, Nicolas Anelka
113 - Ian Wright
111 - Dion Dublin
110 - Emile Heskey
109 - Ryan Giggs
107 - Paul Scholes
105 - Darren Bent
100 - Matt Le Tissier, Didier Drogba, Steven Gerrard
++++++++++++++++
Paul Dummet aliipa Bao la Pili Newcastle lakini Daniel Sturridge akasawazisha baada ya krosi nzuri ya Luis Suarez.
VIKOSI:
Newcastle: Krul, Debuchy, Yanga-Mbiwa, Williamson, Santon, Cabaye, Tiote, Sissoko, Gouffran, Ben Arfa, Remy
Akiba: Elliot, Dummett, Anita, Obertan, Sammy Ameobi, Shola Ameobi, Cisse.
Liverpool: Mignolet, Johnson, Cissokho, Toure, Skrtel, Sakho, Henderson, Gerrard, Moses, Suarez, Sturridge
Akiba: Jones, Agger, Kelly, Flanagan, Alberto, Sterling, Allen. 
RATIBA:
BPL: LIGI KUU ENGLAND
[Saa za Bongo]
Jumapili 20 Oktoba
18:00 Aston Villa v Tottenham Hotspur
Jumatatu 21 Oktoba
22:00 Crystal Palace v Fulham

michezo

BPL: MABINGWA MAN UNITED WABANWA, ARSENAL, CHELSEA HAOO..!

>>MOURINHO APIGWA KADI NYEKUNDU!!
ARSENAL wameendelea kubaki kileleni mwa BPL, Ligi Kuu England, baada ya kuichapa Norwich City Bao 4-1 Uwanjani Emirates na Chelsea, waliokuwepo kwao Stamford Bridge, pia kuipiga Bao 4-1 Cardiff City na kukamata Nafasi ya Pili huku Mabingwa Manchester United wakibanwa kwa Sare ya Bao 1-1 na Southampton ambayo imewaacha wakiwa Nafasi ya 8.
PATA ZAIDI:
++++++++++++++++
RATIBA/MATOKEO:
Jumamosi 19 Oktoba
Newcastle United 2 Liverpool 2
[Saa za Bongo]
Arsenal 4 Norwich City 1
Chelsea 4 Cardiff City 1
Everton 2 Hull City 1
Manchester United 1 Southampton 1
Stoke City 0 West Bromwich Albion 0
Swansea City 4 Sunderland 0
[Saa za Bongo]
19:30 West Ham United v Manchester City
++++++++++++++++
BPL2013LOGOEVERTON 2 HULL CITY 1
Bao za Kevin Mirallas na Steven Pienaar zimewapa Everton ushindi wa Bao 2-1 dhidi ya Hull City ambao walifunga Bao lao kupitia Yannick Sagbo.
VIKOSI:
Everton: Howard, Coleman, Jagielka, Distin, Baines, McCarthy, Barry, Mirallas, Barkley, Osman, Lukaku
Akiba: Robles, Jelavic, Kone, Deulofeu, Naismith, Pienaar, Stones.
Hull: McGregor, Rosenior, Davies, Faye, Figueroa, Elmohamady, Huddlestone, Livermore, Brady, Aluko, Graham
Akiba: Bruce, Meyler, McShane, Boyd, Sagbo, Harper, Quinn.
ARSENAL 4 NORWICH CITY 1
Bao za Jack Wilshere, Mersut Ozil, Bao 2, na Aaron Ramsey, zimewapa Arsenal ushindi wa Bao 4-1 na kujikita kileleni mwa Ligi.
Bao pekee la Norwich City lilifungwa na Jonny Howson.
VIKOSI:
Arsenal: Szczesny, Sagna, Koscielny, Mertesacker, Gibbs, Wilshere, Arteta, Flamini, Cazorla, Ozil, Giroud
Norwich: Ruddy; Martin, Bassong, Turner, Olsson; Tettey, Fer, Howson; Snodgrass, Pilkington, Hooper.
MAN UNITED 1 SOUTHAMPTON 1
Robin van Persie aliwapa Mabingwa Man United Bao la kuongoza lakini katika Dakika ya 89 kona ilishindwa kuokolewa na Phil Jones na Southampton kusawazisha kupitia Lovren.
Katika Mechi hii mara mbili Man United walipiga posti kupitia Wayne Rooney na Van Persie.
VIKOSI:
Man United: De Gea; Rafael, Jones, Evans, Evra, Nani, Carrick, Fellaini, Januzaj, Rooney, van Persie.
Southampton: Boruc, Clyne, Fonte, Lovren, Shaw, Wanyama, Schneiderlin, S. Davis, Lallana, Rodriguez, Osvaldo
CHELSEA 4 CARDIFF 1
Jordon Mutch alitangulia kuipa Bao Cardiff City lakini Chelsea walijibu mapigo kwa kupiga Bao 4 kupitia Hazard, Bao 2, Samuel Eto’o na Oscar ambazo ziliwapa Timu ya Jose Mourinho ushindi wa Bao 4-1 na kuchupa hadi Nafasi ya Pili.
Hata hivyo Mechi hiyo iliingia utata kwenye Bao la kusawazisha la Chelsea ambalo Kipa Marshall alidunda Mpira chini baada ya kuudaka na Eto’o kuudokoa na baadae kumfikia Hazard aliefunga lakini Wachambuzi wamebainisha kuwa Kisheria Goli hilo lingetakiwa kutokubaliwa.
Mourinho alimaliza Mechi hii akiwa Mtazamaji baada ya kutolewa nje na Refa.
VIKOSI:
Chelsea: Cech; Ivanovic, D Luiz, Terry, Bertrand; Ramires, Lampard; Willian, Mata, Hazard; Eto'o
Cardiff: Marshall; Taylor, Caulker, Turner, Whittingham, Medel, Odemwingie, Gunnarsson, Mutch, Cowie, Theophile-Catherine.
SWANSEA 4 SUNDERLAND 0
Katika Mechi ya kwanza ya Meneja mpya Gus Poyet wa Sunderland alieshika wadhifa baada ya kutimuliwa Paolo Di Canio, Sunderland imebamizwa Bao 4-0 na Swansea ambao walipata Bao lao la kwanza baada ya Phil Bardsley kujifunga mwenyewe.
Bao nyingine za Swansea zilifungwa na Jonathan De Guzman, Wilfried Bony, kwa Penati, na Chico Flores.
VIKOSI:
Swansea: Vorm, Rangel, Chico, Amat, Davies, Britton, de Guzman, Michu, Dyer, Routledge, Bony
Sunderland: Westwood, Celustka, Bardsley, O'Shea, Roberge, Cattermole, Johnson, Larsson, Gardner, Giaccherini, Fletcher.
STOKE CITY 0 WEST BROM 0
VIKOSI:
Stoke: Begovic, Wilkinson, Shawcross, Huth, Pieters, Ireland, Nzonzi, Adam, Walters, Arnautovic, Assaidi
Akiba: Whelan, Palacios, Jones, Wilson, Crouch, Etherington, Sorensen.
West Brom: Myhill, Billy Jones, McAuley, Olsson, Ridgewell, Yacob, Mulumbu, Amalfitano, Sessegnon, Berahino, Anichebe
Akiba: Morrison, Long, Brunt, Luke Daniels, Vydra, Dawson, Anelka.
RATIBA:
BPL: LIGI KUU ENGLAND
[Saa za Bongo]
Jumapili 20 Oktoba
18:00 Aston Villa v Tottenham Hotspur
Jumatatu 21 Oktoba
22:00 Crystal Palace v Fulham

Monday, 14 October 2013

STORY


ROMANCE WITHOUT SEX (4) SEHEMU YA NNE


Ilipoishia sehemu ya Tatu.................................
Nakumbuka siku hiyo ilikuwa jumamosi nikiwa nimepumzika zangu nyumbani nyakati za jioni mara kidogo simu yangu ya mkononi ikaita kuangalia kwenye kioo nani aliyekuwa anapiga alikuwa ni sarah nikapokea’
Hallow’ sarah,
Sarah…. Tinna uko wapi?
….Nipo nyumbani,
Sarah …samahani tinnah nina matatizo hapa, nahitaji uje unisaidie nipo huku mjini katika bar ya Jb yaani hapa nimelewa naogopa kuondoka peke yangu njoo unichukue samahani kwa usumbufu rafiki yangu,
Nikajifikiria nikaona nikimkatalia haitakuwa vizuri atakuwa amelewa sana nikavaa haraka haraka nikatoka na kuelekea hadi katika ile bar kufika kweli nikafanikiwa kumkuta na kwa jinsi nilivyomuona alikuwa amelewa sana
Akaniambia….. nashukuru rafiki yangu umekuja karibu na wewe upate japo beer moja...
INAENDELEA SEHEMU YA NNE

Sunday, 13 October 2013

Friday, 11 October 2013


Video mpya ya ‘cheza bila kukunja goti’ Ay Fa na J Martins imetoka, iko hapa



MAPENZI

Sababu 7 kwanini mwanamke hataki ku sex na wewe.

 Kutokana na takwimu za kitaalamu, Inasemekana inachukuwa sekunde 30 tu kwa mwanamke kuchukua uamuzi wa ku sex na wewe au kuto sex na wewe.
Kwanini nasema ni sekunde 30?
Inafahamika kuwa wanawake huweza kubadili mawazo yao haraka kuliko kutamka neno haraka, Na hii ni kwasababu msichana/mwanamke anakuwa anatongozwa na wavulana wengi kwa wakati mmoja kwa miaka mingi sasa na yeye inamchukuwa mda kidogo wa kuku ali au ku kataa kuwa na huyo mvulana. Na hii ndiyo huwa wana iita "female intuition".
Unaweza ukajiuliza kwa nini hasa wanawake wanauwezo wa kukataa/kubadilisha mawazo mapema hivyo kuliko wavulana na wavulana huwa hawajali? Nikutokana na mvulana hana umbile ambalo linapelekea msichana amuone na kutamani kufanya naye mapenzi kam ailivyo kwa wasichan akuwa na maumbile ambayo huleta matamanio kwa mvulana kuhitaji kufanya se.

Hizi hapa ni sababu 7 ambazo kwanini msichana hataki kufanya sex na wewe.

Kujiamini: Baada ya kuangalia juu ya kuwa mvulana hana mvuto wa kumsababisha msichana atamani ku sex naye, Kitu kinachosababisha umpate au usimpate ni kujiamini, Kwa mvulana kumsalimia tu mvulana nitayari ya kuonyesha una uamini. Msichana hayupo tayari kupanda kitandani na mvulana ambaye hajui anafanya nini. unaweza ukauliza juu ya wavulana ambao wana-aibu. Wao wanatakiwa kutumia hata kioo kwaajili ya kutafuta kuondoa aibu kwa kufanya mazoezi ya approaching. Elewa msichana yeyote humzarau mvulana ambaye anashindwa kujiamini.

Maneno yako: "Hatupendi mvulana anaye tongoza huku haelekei kwenye main point" maneno ya wasichana. Sababu nyingine ni kutokuwa na maneno ambayo hayaja nyooka. Kuwa na story zilizo pinda pinda. Unatakiwa uwe unaongea kama mtoto mdogo vile anapokuwa akitoa taafifa ili kuweza kusaidiwa kwenye kumpata mpezi umpendaye.

 Muonekano: Tunapoongelea muonekano huwa kunauchunguzi wa mambo mengi. Je unapokuwa unaongea naye unamtazamaje?, Je huwa una vaa namna gani?, Unatembea na kina nini? na wakati mwingine mfumo wako wa maisha upo jinsi ipi? Hakikisha unakuwa Nadhifu (Sio kwa kuwa sharo baro/Yoyoyo!), Kuwa na muonekano nadhifu na wakujali ambao hautamkera msichana.

Tambua hisia zake: Wasichana sio kama wavulana, wavulana huamsha hisia za mapenzi mapema, lakini msichana kama yupo kwenye siku mbaya ya kukwazwa, kuuziwa, onyesha tabasamu na utambuwe namna ipi ya kumburudisha ili kufurahisha moyo wake. Ujue ni wapi ambapo unaweza kumfurahisha.

Kuwa mtu wa Romantic: Aina yote ya utani na ucheshi mzuri utakuweka wewe kuwa rafiki wa karibu na mpenzi wako na afurahiye maisha ya kuwa na wewe. Kuwa mtu wa kumjali kila mara, taka kujuwa haja zake kwa kumuuliza maswali mazuri na sio kumkaripia kila mara. Kama wewe ni asiliyako kuwa wa Romantic ionyeshe kwa uhalisia na umliwaze kila mara.

Onyesha/Ishi kwa uhalisia wako: Usijibadilishe ili mpenzi wako akukubali kwa kujipodowa au kujiweka tofauti na uonekanavyo zaidi ya kumpenda. Mvulana yeyote anaye tazamia jinsi yeye alivyo ni mvulana ambaye kila mwanamke anampenda kwakuwa haonyeshi dalili ya mabadiliko. Usione haya kuongelea juu ya madhaifu yako kwa mpenzi wako, Maovu/Mambo ambayo wewe huona sio mazuri lakini unayafanya kama Ulevi, Uvutaji nk. Hii hukusababishia kupata msaada wa mabadiliko kutoka kwa mpenzi wako.

Msikilize mpenzi wako: Inatosha.


MUSIC

HII NDO RMX YA TUPOGO LAKINI YENYEWE INAITWA MIHOGO ALIYEIMBA SIO OMMY DIMPOZ NI AFRO MAGIC

Thursday, 10 October 2013

MICHEZO

ARSENAL YATWAA TUZO YA MWEZI, NI WENGER NA RAMSEY!

WENGER-BANGO_SPENDBAADA ya kutwaa uongozi wa Ligi Kuu England kwa kucheza vizuri mno Mwezi Septemba, Arsenal imezawadiwa Tuzo za Meneja Bora na Mchezaji Bora kwa Mwezi Septemba na Wadhamini wa Ligi hiyo.
Arsene Wenger ndie alietwaa Tuzo ya Meneja Bora na Aaron Ramsey kuzoa ya Mchezaji Bora.
Arsenal walianza Msimu huu wa Ligi kwa kichapo cha Bao 3-1 Nyumbani kwao Emirates mikononi mwa Aston Villa lakini baada ya Mechi hiyo wameshinda Mechi 5 na Sare moja.
Katika Mwezi Septemba, Arsenal wamezifunga Tottenham Hotspur, Sunderland, Stoke City na Swansea City na kutoka Sare na West Bromwich Abion huku Aaron Ramsey akifunga Bao 4.
Mbali ya kushinda kwenye Ligi, Arsenal pia walishinda Mechi zao mbili za Kundi lao la UEFA CHAMPIONZ LIGI dhidi ya Marseille na Napoli.
Mwezi Agosti, Tuzo hizi zilitwaliwa na Brendan Rodgers, Meneja wa Liverpool, na Straika wake, Daniel Sturridge, ndie alikuwa Mchezaji Bora.
Kwa sasa Ligi Kuu England imesimama kupisha Mechi za Kimataifa na itarudi kilingeni Oktoba 19.

RATIBA:
BPL: LIGI KUU ENGLAND
[Saa za Bongo]

MECHI ZIJAZO:
Jumamosi 19 Oktoba
14:45 Newcastle United v Liverpool
17:00 Arsenal v Norwich City
17:00 Chelsea v Cardiff City
17:00 Everton v Hull City
17:00 Manchester United v Southampton
17:00 Stoke City v West Bromwich Albion
17:00 Swansea City v Sunderland
19:30 West Ham United v Manchester City
Jumapili 20 Oktoba
18:00 Aston Villa v Tottenham Hotspur
Jumatatu 21 Oktoba
22:00 Crystal Palace v Fulham
++++++++++++++++++++++++++
MSIMAMO:
NA
TIMU
P
GD
PTS
1
Arsenal
7
6
16
2
Liverpool
7
6
16
3
Chelsea
7
6
14
4
Southampton
7
5
14
5
Man City
7
9
13
6
Tottenham
6
4
13
7
Everton
7
1
12
8
Hull
7
-1
11
9
Man Utd
7
1
10
10
Aston Villa
7
1
10
11
Newcastle
7
-3
10
12
West Brom
7
1
9
13
West Ham
7
2
8
14
Cardiff
7
-2
8
15
Swansea
7
-3
7
16
Stoke
7
-3
7
17
Fulham
7
-4
7
18
Norwich
7
-4
7
19
Crystal Palace
7
-8
3
20
Sunderland
7
-11
1

Friday, 4 October 2013

LOVE STORY

ROMANCE WITHOUT SEX(3) SEHEMU YATATU

 ILIPOISHIA SEHEMU YA PILI......

wanafunzi wa kike walio na tamaa walikuwa wakimshobokea,na kwa kuwa yeye anapenda kuonekana na idadi kubwa ya wanawake alifanya nao mapenzi na kuwapatia pesa  nilipo ingia tu pale chuo stori nyingi zilimzungumzia yeye sikupenda tabia aliyokuwa anaifanya siku moja wakati napitapita katika maeneo ya chuo nilikutana na aron pale pale alinisimamisha

“ dada samahani nina mazungumzo na wewe’
 huku mkono wake ukiwa katika bega langu ili kunizuia nisipite,
‘nikamjibu…. ‘embu niache kwani lazima unishike’ huku nikiwa nimekunja uso wangu,
‘akanijibu…. ‘kwa nini umekasirika kiasi hicho kwani nimekukosea? Nahitaji nipate muda wa kuongea na wewe,
Nikamjibu….;no sina muda wa kuongea na wewe jaribu kwengine, nikaondoka zangu nikamuacha hapo akiwa amesimama hakuamini kilichotokea hakuchoka aliendelea kunisumbua kila mara tulipo kutana na msimamo wangu ukawa hivyo sikutaka kumpa nafasi ya kuongea na mimi ..........

2014 © Movieism
RealMag theme by Templateism